Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tena nguruwe poriHuyu ni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena nguruwe poriHuyu ni
😂😂Tena nguruwe pori
Hatari sn
Aah tayari nimeshakujuwa John.Rip jirani
Yohana unamkataa Lucas wakati mnaandika wote vitabu vya injili?Ila Washamba Washamba kama wewe sitakagi ujirani mko kimbuzimbuzi zaidi 😃😃
Hili mbwiga bado tongotongo za mbwinde hazijamtoka halafu anataka ajifanye kila kitu anajua yeye.Lucas wewe siasa umeanza juzi tu
1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kwapa
Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
Aliminya sana demokrasia wakati ule na sasa tunamsubiri msajili wa sasa.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
HAKIKA.Alijitahidi sana kuwa fair wakati akiwa msajili wa vyama. Pia wakati ule viongozi walau walikuwa na hofu ya Mungu.
Mungu amjalie amani na pumziko miongoni mwa wateule wake
Mnamsubiria wapi huko?Aliminya sana demokrasia wakati ule na sasa tunamsubiri msajili wa sasa.
Mbele ya Haki.Mnamsubiria wapi huko?
Kweli kabisaUlikuwa mkwara tu. Tendwa hakuwa na visa kama Mtungi.
Siku tukijua duniani tuna pita bila na vyote tuta viacha Shaka tuta peana afadhali za maishaNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Lukasi acha wivu.Wewe kila mtu ni jirani yako
Dhambi za kunyanyasa vyama vya upinzani hazita waacha watakufa kipumbavu kabla ya wakati wao, bado mwenzie mutungiNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Ndugu yako huyo !Ila Washamba Washamba kama wewe sitakagi ujirani mko kimbuzimbuzi zaidi 😃😃
Huyu ni mmoja kati ya walioshiriki kwa kiwango kikubwa kuharibu demokrasia ya vyama vingi hapa nchini. Akapate stahiki yake huko mbele.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Apumzike panapostahili. Huyu ndiye aliyeua uoinzani hapa nchini.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639