TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

Apate pumziko kadiri ya matendo yake.
Kati vile vyama 14 alisajili/kulea vingapi?
 
Lucas wewe siasa umeanza juzi tu

1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kwapa

Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
Hili mbwiga bado tongotongo za mbwinde hazijamtoka halafu anataka ajifanye kila kitu anajua yeye.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Aliminya sana demokrasia wakati ule na sasa tunamsubiri msajili wa sasa.
 
AA
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Siku tukijua duniani tuna pita bila na vyote tuta viacha Shaka tuta peana afadhali za maisha
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Dhambi za kunyanyasa vyama vya upinzani hazita waacha watakufa kipumbavu kabla ya wakati wao, bado mwenzie mutungi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Huyu ni mmoja kati ya walioshiriki kwa kiwango kikubwa kuharibu demokrasia ya vyama vingi hapa nchini. Akapate stahiki yake huko mbele.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Apumzike panapostahili. Huyu ndiye aliyeua uoinzani hapa nchini.
 
Back
Top Bottom