milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Acha ujinga wako hapa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wako hapa wewe
Ulikuwa mkwara tu. Tendwa hakuwa na visa kama Mtungi.#Tendwa atishia kukifuta Chadema#
Kauli ilimpozaUlikuwa mkwara tu. Tendwa hakuwa na visa kama Mtungi.
Naunga mkono hojaKila nafsi itaonja umauti
Ni swala la muda na wakati....
Mzee wa Mbweni johnthebaptist kasema wewe ni Mshamba na umekaa kimbuzimbuzi😃😄😀Huwezi ukaelewa kwa sababu bado hujakomaa kiakili.
Namsamehe kwa sababu najua ulanzi ulishamuathiri ubongo wake.Mzee wa Mbweni johnthebaptist kasema wewe ni Mshamba na umekaa kimbuzimbuzi😃😄😀
Inawezekana kweli hazijakomaa, ila wewe hazimo kabisa. Ubungo wako uko katika hali ya "tabula rasa".Huwezi ukaelewa kwa sababu bado hujakomaa kiakili.
Embu soma ulichoandika uone namna ulivyo mbumbumbuInawezekana kweli hazijakomaa, ila wewe hazimo kabisa. Ubungo wako uko katika hali ya "tabula rasa".
Pole kwa Wafiwa, Roho yake iwekwe mahali inapostahili kutokana na Matendo yake hapa Duniani, AminaNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Amefutwa yeye,CHADEMA ingali inadunda.#Tendwa atishia kukifuta Chadema#
Ulikuwa mkwara tu. Tendwa hakuwa na visa kama Mtungi.
Mungu yupo, ulimuona wapi ?Jamani tufanye yote lkn tukumbuke Mungu yupo.
Ndiyo, hata Master T (aliyekuwa dj maarufu Radio 1 na itv ni mtoto wake, huyu dogo alianza kutangaza itv akiwa mtoto kabisa, alianzia kipindi cha watoto kisha akawa anatangaza kipindi cha Rap time kila jumanne saa kumi jioni, pole kwa Master T na familia kwa ujumla.Huyu Mzee alikuwa na familia kweli?
R.I.P John Tendwa 🌹Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639