milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Wanaoisaidia ccm kubaki madarakani wakif.. wote ni neema kwa watanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto na ujinga wako hapa.Wanaoisaidia ccm kubaki madarakani wakif.. wote ni neema kwa watanganyika
CCM hawajui hilo. Ndiyo maana wanapotelea kuzimu. Wanasema wanaiba uchaguzi baadae wanaenda kutubu. Wanadhani Mungu ni mjomba wao. Mwisho wanajikuta wamejazana kuzimu na huko hakuna vyeo wala uchawa.Jamani tufanye yote lkn tukumbuke Mungu yupo.
Sasa kwa nini hutaki wenzako wawe na majirani wenye majina makubwa.Sina wivu mimi.
Acha uongo wako hapa weweJamaa alikuwa anajiona sana. Anyway, apumzike salama.
Kwani wewe hutakufa.Aisee!
CCM imeshindwa kuzuia kifo chake?
Acheni Mungu aitwe Mungu.
GOD BLESS TANGANYIKA
Alikua mcheshi sana. Kabla usaji wa vyama vya siasa, alikua msajili pale industrial court kabla ya ujio wa CMA, late 90sAlijitahidi sana kuwa fair wakati akiwa msajili wa vyama. Pia wakati ule viongozi walau walikuwa na hofu ya Mungu.
Mungu amjalie amani na pumziko miongoni mwa wateule wake
Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Kumbe wewe mtoto wa juzi tu na maarifa yako ya jamii.R.I.P
KIpindi tunasoma maarifa ya jamiii tulikuwa tunasoma jina lake..
Uzalendo upi mzee, hukuwepo mahakamani Enzi za kina Jidu La Mabambasi na John cheyo aliekuwa akipewa backup na mkwere kudhulumu nafasi ya uenyekiti pale UDPPoleni wanafamilia.wazalendo wanaisha yanabaki na mafisadi tu.
Ĺĺļ mimi mzimu tu mzeeUzalendo upi mzee, hukuwepo mahakamani Enzi za kina Jidu La Mabambasi na John cheyo aliekuwa akipewa backup na mkwere kudhulumu nafasi ya uenyekiti pale UDP
Cc Pascal Mayalla