Msaki anayemiliki mjengo wa Kibo Complex anaweza akawa kwenye top 10 ya matajiri weusi Tanzania

[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkuu endelea kuona makosa kwenye maisha na biashara za watu wengine tuone utaishia wapi au itakuongezea nini kwenye akaunti yako.
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkuu endelea kuona makosa kwenye maisha na biashara za watu wengine tuone utaishia wapi au itakuongezea nini kwenye akaunti yako.

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
With your thinking una suggest tunapoona kosa mahali tusiseme tuendelee kunyamaza?

Tunyamaze sababu haisaidii account zetu kupata hela?

Hii ndio thinking yako?

I see,tuna shida zaidi ya hapa!
 
Inakusaidia nn Sasa? Acha shobo
Waafrika hasa wabongo tuna utamaduni wa kijinga kweli kweli. Utakuta mtu anachukuwa muda wake kufuatilia maisha ya mtu na kuchunguza biashara zake zote anazofanya na kipato chake. Watu kama hawa ukiwakuta kijiweni unatakuwa wanabishana kweli kweli kati ya fulani na fulani nani ana mkwanja! Mbaya zaidi wao unakuta nguo zao zimejaa viraka na hawajui hata kesho wanakula nini!
 
jamaa Fulani bwana wa kawaida ila asikwambie mtu ndgu usiyoyajua usiku wa giza .....stori hujapata vizuri......kila mtu ana namna yake ya kula mjini hapa..na kila mbuzi hula urefu wa Kamba yake..inshort yuko vizuri kwenye biashara tu anapambana sana
 
Huyu jamaa wa kutoka kijiji cha Laso huko Kilema Moshi ni mpambanaji haswa
 
With your thinking una suggest tunapoona kosa mahali tusiseme tuendelee kunyamaza?

Tunyamaze sababu haisaidii account zetu kupata hela?

Hii ndio thinking yako?

I see,tuna shida zaidi ya hapa!
mmwkutana nyie pipa na mfuniko aisee
 
With your thinking una suggest tunapoona kosa mahali tusiseme tuendelee kunyamaza?

Tunyamaze sababu haisaidii account zetu kupata hela?

Hii ndio thinking yako?

I see,tuna shida zaidi ya hapa!
Nilidhani labda ulishawahi kumuita for a drink labda Hotel Kempiski ukamkaribisha na wine au cocktail labda hivi umuelezee haya yote uliyoyaona kwenye business yake ningekuona mtu wa maana sana
ila unaongelea nyuma ya keyboard that means ni porojo, uzandiki, unafiki, na wivu usiokua na maana yoyote.
 
Huyu jamaa wa kutoka kijiji cha Laso huko Kilema Moshi ni mpambanaji haswa
but bado kuwa bilionea au tajiri unapimwa na mambo mengi sana ..usione wakina billgate vigezo viko vingi sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaona sasa....

Ningekutana nae na kumueleza hili kosa ni sahihi

Ila kusema hapa kosa lile lile linageuka na kua uzandiki,wivu na porojo!

Yaani kosa lile lile ila nikimueleza kwa siri ni sahihi ila nikisemea hapa kwenye uzi tayari linabadilia kwa chemical reaction na kua uzandiki,wivu na porojo???

Hii dunia wacha nishuke iendelee,inaenda kasi sana!
 
jamaa Fulani bwana wa kawaida ila asikwambie mtu ndgu usiyoyajua usiku wa giza .....stori hujapata vizuri......kila mtu ana namna yake ya kula mjini hapa..na kila mbuzi hula urefu wa Kamba yake..inshort yuko vizuri kwenye biashara tu anapambana sana
hayo ya usiku wa giza wewe uliyajuaje. dah wabongo nimewanyooshea mikono.
stori za vijiweni hua na maneno kama "asikuambie mtu",
 
kwanini ulisemee hapa kwanini unamnanga mtu hapa kama sio mipasho ni nini kijana...tena ni mtanzania, yupo tanzania, kwanini usimtafute kumueleza hio shida uliyoiona pengine ungepata hata pesa, una choose kulisema hapa kwa faida ya nani na yeye si ajabu hata hayupo humu, kama sio unafiki ni nini bwana mdogo
 
Watu huwa wanafikiri matajiri wakubwa wamepewa mashart ya waganga pale wanapokua wagumu kutoa hata buku.
Lakin ni hapana matajir huwa Wana madeni makubwa kwenye mabank huko..

Mimi naogopa sana kukopa ndo maana sijatajirika
 
hayo ya usiku wa giza wewe uliyajuaje. dah wabongo nimewanyooshea mikono.
stori za vijiweni hua na maneno kama "asikuambie mtu",
sio kila kitu cha kueleza hapa yanikute na mm ya clouds au unatakaje???jiongeze
 
We endelea kupima vitu vingi. Wenzio wanaendelea kuwa mabilionea....
soma comment vizuri bwana...utajiri unaosemwa hapa unapimwa na mambo mengi tahts was my point....nakumbuka wakati nasoma mwalimu wangu wa DS aliniuliza kitu ww umekunywa chai asubuhi nikasema ndyo...mchana umekula nikasema ndyo na usiku unauhakika wa kula nikamwambia ndyo..akaniuliza mara ya mwisho kwahiyo ww una maendeleo???je ww ungejibuje
 

Akili ya darasani sio akili ya mtaani!!! Huoni yule mwenye madigrii mengi alivyolalamika alivyopigwa spana na wa darasa la saba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…