Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Safi sana.
Hawa wachigoma wanaendelea kuongeza Ajira kwa vijana.

Ni jambo la kupendeza sana
 
Mihogo mnaichukulia poa sio? Mtu kama ww unaweza Kuta unaona ufahari kula chips zege.
Sijawahi dharau mihogo, kipindi nipo chuo nlikuwa nagonga mihogo vbya sana ukila saa nne au tano mzee hyo ni mpaka jioni, mpaka saiv naipiga sana kama saiv saa mbili au tatu jua lishawaka kupiga chai chapati au supu ni kipengele ko nachukua mihogo na juice au soda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…