MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Hahahah, wanawake wa kitutsi wazuri bwanaa. Hebu mwangalie K-LYN. Hivi unadhani kwanini Mzee wetu Mengi aliwaacha wakina Madam Rita akamuoa Jackie ???Advocate umeoaa mnyarwnda nn mkuu Mbna umeibuka kwa utetezi dhid yao [emoji23][emoji23]
Sikiliza Malcom tushasema hivi muoe nyumbani mnakimbilia pua ndefu dada zenu wenye pua pana nani ataoaAisee, umechafukwa nyongo kweli. Ila ndiyo ukweli wenyewe huo. Waache vijana waoe wanapopenda, kama kuachana ndiyo tatizo, mbona hapa Tanzania ndoa zinavunjika kila siku tu...
Madam Ritha ni wale wale Ila ritha mrembo zaidi kuliko klynWanawake wa kitutsi wazuri bwanaa. Hebu mwangalie K-LYN. Hivi unadhani kwanini Mzee wetu Mengi aliwaacha wakina Madam Rita akamuoa Jackie ???
Bwahahaha.....Wote hao wabaya
🚮🚮🚮 kalale huko tushamalizaBwahahaha.....
Mbona ndoa nyingi za humu humu ndani watu wanaachana tena wengine wanauana kabisa si bora hao WA Nje wanaachana!Washaachana walijifanya kwenda kuoa nje ya Tanzania wote wameachika rudin nyumbani kumenoga
Usiku mwemaMbona ndoa nyingi za humu humu ndani watu wanaachana tena wengine wanauana kabisa si bora hao WA Nje wanaachana!
Rwanda ni sex tourism sana ndo maana wanawapaisha sanaKumbee Ni madanaga waandamizi
Mazeee, Ethiopia nimefika, wanawake wa kihabeshi ni wazuri sana lakini hawana maumbo kama ya Watutsi. Wengi ni Slender na siyo warefu. Labda wale wa Tigray ndiyo wana maumbo makubwa....Wasichana wa kawaida sana hao wazur wapo kila kona watutsi wako overrated sana maana hawajiheshimu ni watu wa maonyesho nenda Ethiopia kaone wanavyojitanda utajua wapi wazuri...hao uliotaja ni wale wa Kick za kimtandao na Wana mtandao mrefu kweny sex tourism kwanza kujiheshimu tu balaa Kun page inaitwa Kigali news utaona wanajiuza
Sawa wanyarwanda Wana maumbo kwa kweli Haina ubishi ..ila wameru na wachaga na wamasai ni sawa nimesoma na wameru ni warefu ila wako flat na makomwe wanapendeza wakinyoo sasa shuka kweny kiuno kama funza hawana maumbo mazuri.Mazeee, Ethiopia nimefika, wanawake wa kihabeshi ni wazuri sana lakini hawana maumbo kama ya Watutsi. Wengi ni Slender na siyo warefu. Labda wale wa Tigray ndiyo wana maumbo makubwa....
Hahahaha braza, sehemu yoyote ile duniani ambako kuna SEX-TOURISM lazima kuwe na wanawake wazuri mfano Brazil, Dominican Republic, Vietnam n.k. Tuweke siasa za kitaifa pembeni, wanawake wa kitutsi wengi wao wanavutia. Lakini hoja yangu ya msingi hapa, ni kwamba tusipangiane maisha na tusifurahie ndoa ya AY kuvunjika maana hata hapa Tanzania ndoa nyingi tu zinavunjika.Ukija kwa maumbo kwa level za kibongo na kiafrica Ina matter ila sio kidunia kwa sana hayo makalio yapo overrated kwwnu michezo iyo ya sex tourism ila sio katika kurank warembo wakali ...hao wengi hawaolewi ni show off tu
Sioni ishu ya kufurahia ndoa kuvunjila haswa mtu kama AY ...unajua sisi tunapenda wenzetu wapate matatizo sana kitu ambacho hakina faida kabisa...Hahahaha braza, sehemu yoyote ile duniani ambako kuna SEX-TOURISM lazima kuwe na wanawake wazuri mfano Brazil, Dominican Republic, Vietnam n.k. Tuweke siasa za kitaifa pembeni, wanawake wa kitutsi wengi wao wanavutia. Lakini hoja yangu ya msingi hapa, ni kwamba tusipangiane maisha na tusifurahie ndoa ya AY kuvunjika maana hata hapa Tanzania ndoa nyingi tu zinavunjika.
Tatizo siyo mwanamke wa kitutsi, tatizo ni anguko la maadili baina ya wanandoa vijana......
Upande huo wako moto acha kabusa,, tatizo tabia zao zinafunika mazuri yao yoteKwanza wana k tepetepe lain pwa pwaaa 😏
Waliooa hao watu na kupigwa matukio ndo wameelewa somoBwahahaha, mke ni mke tu, maadam umemuoa. Hivyo msiwapangie watu maisha, na amuoe nani. Mimi nashauri vijana waendelee kufurahia maisha na kuoa wake watakaowapenda hata nje ya nchi.....
Wakikwambia uoe Somalia utakataa ???Sioni ishu ya kufurahia ndoa kuvunjila haswa mtu kama AY ...unajua sisi tunapenda wenzetu wapate matatizo sana kitu ambacho hakina faida kabisa...
Kiukweli wanawake wa hao sijawai kuvutiwa nao mi labda weny asili ya ushombeshombe wa kiarabau haswa mademu wa upate wagunya ,wasomali
Hehehehe waliozingatia muonekano badala ya tabia mfano ni AY mwenyewe Kiko wapi Sasa😂😂Kuniita mimi Mbulula hakubidilishi ukweli mchungu. Kwamba, moja ya kigezo ambacho wanaume huangalia kwa mwanamke ni uzuri na mvuto, siyo tabia peke yake. Sasa mkitaka kuwapangia watu maisha ambao hata hamuwafahamu haitasaidia. Kila mbuzi na kamba yake.....
Matukio gani hayo ambayo wanapigwa wao peke yao ???Waliooa hao watu na kupigwa matukio ndo wameelewa somo