TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Yule mwanamke aliyempiga risasi akakimbia si ndio huyo alikuwa amekaa mgahawani chini.

Aisee ni yeye ina maana hakuna camera upande mwingine inayoonesha sura ya huyo dada maana lazima kuna camera angle zote na wakati anaingia hapo hotelin
 
Ile clip nimeiangalia kwa Tv ili nione clearly.
Alipoanguka mara ya kwanza yule aliyemuinua si angemuuliza kama yuko sawa?
Ye akamsimamisha mwenzake dah

Apumzike kwa amani
Inaoneka alikua yuko bwax,gambe ilikolea kichwani,na blood pressure vikasabisha moyo ukashidwa kufanya kazi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…