Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 538
hehehe huyu Soldier wenu bado kijana mdogo sanaMkuu infrantria tunadai katangazo chako kama unatufokea"ndugu zangu ndo mmegoma kununua vitabu vyangu vya kijerumani"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hehehe huyu Soldier wenu bado kijana mdogo sanaMkuu infrantria tunadai katangazo chako kama unatufokea"ndugu zangu ndo mmegoma kununua vitabu vyangu vya kijerumani"
Mwisho wa mwezi nitakuungisha mkuu.Hahahahaaaaaa sawa kaka mkubwa ngoja niandike baba la baba.
Ndugu zangu ndio mmegoma kwa makusudi kununua vitabu vyangu vya kijerumani?
Zingatia maoni ya mdau huyo sio kila unachotangaziwa ndivyo kilivyo open ur mind think about other side binafsi sikubal ni uongoMkuu, it's a true story from a reliable source...
Acha kunilazimisha mawazo yangu. Wee jamaa vp? Kama unaona hoja haina maana si unaondoka tu. Kwani lazima uchangie mada zangu? Yeye kama anaona ni uongo aende zake atuache sisi tunaoona kuwa hii ni kweli.Zingatia maoni ya mdau huyo
Go open yours first...sio kila unachotangaziwa ndivyo kilivyo open ur mind
Kama haukubali hiyo ni wewe na mawazo yako usitulazimishe tuwe kama wewe na hao wenzako. Wee jamaa sijui upoje.think about other side binafsi sikubal ni uongo
Mkuu, au ndio tuseme Chan anazeeka vibaya? Eti?Mkuda tu hyo
Ova
Siwezi kuzingatia. Azisha media zako basi ili tuwe tunakuja kusoma kisha tuachane na hizi BBC na CNN.Zingatia maoni ya mdau huyo sio kila unachotangaziwa ndivyo kilivyo open ur mind think about other side binafsi sikubal ni uongo
Si kweli unatakiwa umtunze mpaka afikie miaka 18 and above, yaani aweze kujitegemea mwenyewe.Endapo mtoto alikuomba umzae/azaliwe hata ukimuacha akiwa na miaka miwili lakini kama umemzaa pasi ya matakwa na utashi wake mtunze, mhudumie, mgharamie hadi umauti.
Zaa kwa sababu, usizae kwa sababu ulikuta watu wakizaa. Zaa kwa mpangilio, usizae kuionesha jamii kwamba unaouwezo wa kuzalisha au kuzaa.
We jibu vibaya unavyotaka usihofu kabisa nimekwambia maana naona unaandika vitu kama upo Facebook mada za kitoto cjui ndo kutafuta umaarufu anyway endelea mjuba.Acha kunilazimisha mawazo yangu. Wee jamaa vp? Kama unaona hoja haina maana si unaondoka tu. Kwani lazima uchangie mada zangu? Yeye kama anaona ni uongo aende zake atuache sisi tunaoona kuwa hii ni kweli.
Usinifanye nikakujibu vibaya bure.
Ndio uninache na utoto wangu na Facebook yangu. Nenda zako ********We jibu vibaya unavyotaka usihofu kabisa nimekwambia maana naona unaandika vitu kama upo Facebook mada za kitoto
nahitaji vya kichina nataka nimsalimie boss wa flyover hapa ubungo.Hahahahaaaaaa sawa kaka mkubwa ngoja niandike baba la baba.
Ndugu zangu ndio mmegoma kwa makusudi kununua vitabu vyangu vya kijerumani?
Tafuta na wewe huo umaarufu kama unaona mimi ninafaidi ************cjui ndo kutafuta umaarufu anyway endelea mjuba.
Endapo mtoto alikuomba umzae/azaliwe hata ukimuacha akiwa na miaka miwili lakini kama umemzaa pasi ya matakwa na utashi wake mtunze, mhudumie, mgharamie hadi umauti.
Zaa kwa sababu, usizae kwa sababu ulikuta watu wakizaa. Zaa kwa mpangilio, usizae kuionesha jamii kwamba unaouwezo wa kuzalisha au kuzaa.
hahahaaaa okay poa mzee baba ngoja nitakuangalizia kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana tena na yeye bila shaka anatumia hii JF ingawa hajawahi kuniweka wazi ID yake.nahitaji vya kichina nataka nimsalimie boss wa flyover hapa ubungo.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Sawa...
Haters. Ulitaka kuandika wewe? Wivu tuWe jibu vibaya unavyotaka usihofu kabisa nimekwambia maana naona unaandika vitu kama upo Facebook mada za kitoto cjui ndo kutafuta umaarufu anyway endelea mjuba.
Nakazia usijiamini hata wewe pia bali muamini Mungu pekee.Mkuu, mwanzo ulisema tusiamini MAINSTREAM ila sasa unasema tena tusiwaamini MA-STAR ninashindwa kukuelewa kaka mkubwa.
Acha kunilazimisha mawazo yangu. Wee jamaa vp? Kama unaona hoja haina maana si unaondoka tu. Kwani lazima uchangie mada zangu? Yeye kama anaona ni uongo aende zake atuache sisi tunaoona kuwa hii ni kweli.
Usinifanye nikakujibu vibaya bure.