Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
And its last kicks!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And its last kicks!
Kama Katiba itakuwa ni hii hii kama ilivyo sasa of course hata wao watafanya hivyo hivyo !!Hata Chadema ikichukua dola itawanyamazisha wote wanaokosoa.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Mkuu hicho kibao ni moto moto kama kile cha Dawa Juma?
Ngoja tukiweke hapa ili watu wote duniani waburudike
Mama Samia kama mama Samia naamini ana nia mzuri sana na wananchi wa Tanzania.Msanii Ney wa Mitego anahojiwa na jeshi la polisi Dar es Salaam kutokana na wimbo wake “AMKENI”
Bado najiuliza ni nani anamshauri Rais kutumia hii style kukabiliana na wote ambao hawamsifii?
Rais ni kweli umechangua njia hii? Kweli njia nii utaiweza? Utakamata na kuhoji wa ngapi...
Sukuma gang mnampoteza sanaSerikali ni dude kuuuubwa
inaweza ikashughulikia Umeme na mafuta na huku ikishusha Wenge la wenye vihele hele bila ya muingiliano
Wanaringia vifaru na mabomundio njia pekee waliyobakiwa nayo ya kutisha watu.
Jengeni hoja na watu washindane kwa hoja na sio vitisho!
Sikio la kufa au siku ya kufa nyaniMsanii wa Hiphop nchini Tanzania , Ney wa Mitego , amefunguliwa kesi ya Uchochezi , kutokana na Wimbo wake Mkali unaoitwa 'AMKENI'...
Naichukia sana ccmWakiambiwa ukweli wanakuwa wakali. Hongera sana Ney utayavuka tu wewe ni sauti ya watanzania. Watanzania wana imani na wewe.
Sema bila polis ccm isingekuwepo TanzaniaBILA POLISI CCM NI WEPESI KULIKO PAMBA
Ney hajawahi kufeliMkuu hicho kibao ni moto moto kama kile cha Dawa Juma?
Utamtoa roho mzee wa Tarime pale centeroooNgoja tukiweke hapa ili watu wote duniani waburudike
Mbona ni kibao muruwa kabisa na chenye maudhui ya kuwakumbusha walio kwenye Power.
Waneshapewa maagizo kuwa wazee wa jambiani lazima waendelee kukalia kiti cheupe bila kupingwaInaonekana wazee wa SENTERO hawana kazi za kufanya.