Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ccm daima hawataki kukosolewaMbona ni kibao muruwa kabisa na chenye maudhui ya kuwakumbusha walio kwenye Power.
Amenikosha sana pale kwenye ripoti ya CAG Kichere kudharauliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm daima hawataki kukosolewaMbona ni kibao muruwa kabisa na chenye maudhui ya kuwakumbusha walio kwenye Power.
Amenikosha sana pale kwenye ripoti ya CAG Kichere kudharauliwa
Na amajiandaa kuiba kura kama kawaida yao CCM tupambane tupate KATIBA MPYA.Sijui kama samia atamaliza miaka 10
Hawajioni kuwa wako uchi? Tanzania ya leo sio ile ya 1977Ccm daima hawataki kukosolewa
Aibu anaiona muungwana lkn ccm hawana sifa ya uungwanaHawajioni kuwa wako uchi? Tanzania ya leo sio ile ya 1977
Sasa hapo uchochezi uko wapi? Wimbo umejitosheleza kabisa na ujumbe murua.
Jiandae Ban
Hata ikitengenezwa katiba nyingine, chama tawala huwa kinatabia ya kujijenga zaidi na kuwanyamazisha wote wanaokosoa. Hiyo hata wewe ungekuwa Rais lazma utengeneze mazingira ya kuendelea kusalia madarakaniKama Katiba itakuwa ni hii hii kama ilivyo sasa of course hata wao watafanya hivyo hivyo !!
Sa100 kanyweshwa kvant ya madaraka inampelekeshaMsanii Ney wa Mitego anahojiwa na jeshi la polisi Dar es Salaam kutokana na wimbo wake “AMKENI”
Bado najiuliza ni nani anamshauri Rais kutumia hii style kukabiliana na wote ambao hawamsifii?
Rais ni kweli umechangua njia hii? Kweli njia nii utaiweza? Utakamata na kuhoji wa ngapi?
Rais mbona kuna mambo mengi ya kushughulika nayo kama ukosefu wa Umeme,mafuta na Dolla?
----
Msanii Emmanuel Elibariki maarufu ‘Nay wa Mitego’ ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa kwa tuhuma za kufanya uchochezi kupitia wimbo wake wa ‘Amkeni’.
Akiambatana na wakili wake Jebra Kambone, Ney wa Mitego amesema ameachiwa kwa dhamana baada ya mahojiano yaliyochukua takribani saa tatu na kukamilisha masharti aliyopewa.
Ney wa Mitego alifika katika Kituo cha Polisi Central, Dar es Salaam baada ya kuitwa kwa ajili ya mahojiano.
Hata hivyo Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema halihusiki na kuitwa kwake polisi licha ya kwamba wamemuita mara kadhaa kufika katika ofisi hizo lakini hakuitikia wito huo.
“Tumetoa wito mara mbili kwa ajili ya maadili ya kawaida tu lakini kwa bahati mbaya sana hakuwahi kutokea, na jana tumeandika wito mwingine tukimtaka aje Ijumaa saa 4 asubuhi hajatujibu, sijui kama atakuja ama hatokuja.
Mambo ya polisi nafikiri hayo ni masuala ya kijinai, sisi tunahusiana na masuala ya Sanaa tu wala hatuna jukumu la kwenda kumshitaki,” amesema Mwanasheria wa BASATA, Christopher Kamugisha.
Chanzo: Swahili Times
Mama ni mpole shida wanaojipendekeza, unadhan watu kama mwashambwa akikukuta sehemu unamsema mama yake vibaya utarudi salama?Jamani mama ni mpole sana!
Je jamii yetu haitakiwi kufikiri tena bali kusubiri kuwa watu hamnazo
wenye power hawataki kukumbushwa wao ni malaikaMbona ni kibao muruwa kabisa na chenye maudhui ya kuwakumbusha walio kwenye Power.
Amenikosha sana pale kwenye ripoti ya CAG Kichere kudharauliwa
Dah mwamba wamesha mpa kiki kila sasa hivi kila mtu anausaka huo wimbo ausikilize mistari ya uchochezi.Daa!
Mwana wanampa ngazi ya kwenda juu yaani.
achana kabisa na njaaa.. plus uchawa.. vinatoa watu akili na utu.. walio kwenye power wao wanataka kufurahisha watu flani flani.. na ilhali wanajua wanapingana na ukweliSasa hapo uchochezi uko wapi? Wimbo umejitosheleza kabisa na ujumbe murua.
Ban tena .. 🤨🤨Jiandae Ban
Madaraka yanalevya sana, kuliko Mvinyo pori.wenye power hawataki kukumbushwa wao ni malaika
wanajitoa akili, ila kila wanachofanya wanajua wanakosea.. na nafsi zina wasuta sana.. ila wanalinda ugari waoMadaraka yanalevya sana, kuliko Mvinyo pori.
Kuliko KBILA POLISI CCM NI WEPESI KULIKO PAMBA