Kitu simple kama KATIBA MPYA tu ambayo ni mali yetu sisi Wananchi hawataki kutupa.wanajitoa akili, ila kila wanachofanya wanajua wanakosea.. na nafsi zina wasuta sana.. ila wanalinda ugari wao
Hilo dude kubwa lililoshindwa kudhibiti wizi wa bandarini hadi kuamua kumpa DP World bandari, hilo dude litakuwa ni kubwa jinga.Serikali ni dude kuuuubwa
inaweza ikashughulikia Umeme na mafuta na huku ikishusha Wenge la wenye vihele hele bila ya muingiliano
Katiba mpya ngumu kuipata hadi watu flani wasiwepo bila hivyo tutaimba sana.. katiba mpya kuna watu wameikaliaKitu simple kama KATIBA MPYA tu ambayo ni mali yetu sisi Wananchi hawataki kutupa.
Wanajifanya kutuhadaa na mambo ya Kitoto.
Hebu nifafanulie zaidi Mkuu?Katiba mpya ngumu kuipata hadi watu flani wasiwepo bila hivyo tutaimba sana.. katiba mpya kuna watu wameikalia
Mama anaweza kuwa na lengo zuri kwa Watu wake, lakini amezungukwa na Machawa Makupe na kila aina ya Nasty BugsMama anaupigwa mwingi, kafungulia uhuru wa kujieleza, mama anapenda kukosolewa, yaani ilikuwa nani kama mama! 🤣 🤣 🤣 🤣 Watanzania upenda kusifia mambo bila tafakuri ya kina!
Mama anaweza kuwa na lengo zuri kwa Watu wake, lakini amezungukwa na Machawa Makupe na kila aina ya Nasty Bugs
BILA POLISI CCM NI WEPESI KULIKO PAMBA
Rai mjinga asiyejiamini ndo atafanya hivyo!Haya mambo lazima yatokee. Hata wew ungekuwa Rais ungefanya ivo, au cyo mkuu?
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Watu ambao wamejilimbikizia mali kwa mda mrefu sana katika hii nchi, kwa njia ambazo sio sawa, wamekita mizizi mirefu sana .. usifikiri itakuwa rahisi wao waruhusu katiba mpya wakati wanajua itawang'anataHebu nifafanulie zaidi Mkuu?
Nchi zetu za kiafrica zinafanana mifumo yote, kuanzia siasa na kila kitu. Ukimkosoa Rais ni kosa la UhainiRai mjinga asiyejiamini ndo atafanya hivyo!
Hawezi.Sijui kama samia atamaliza miaka 10
Hao polisi Huwa hawajifunzi? Mbona wanapenda kujiabisha kiasi hiki.Msanii Nay wa Mitego anahojiwa na jeshi la polisi Dar es Salaam kutokana na wimbo wake “AMKENI”
Bado najiuliza ni nani anamshauri Rais kutumia hii style kukabiliana na wote ambao hawamsifii?
Rais ni kweli umechangua njia hii? Kweli njia nii utaiweza? Utakamata na kuhoji wa ngapi?
Rais mbona kuna mambo mengi ya kushughulika nayo kama ukosefu wa Umeme,mafuta na Dolla?
----
Msanii Emmanuel Elibariki maarufu ‘Nay wa Mitego’ ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa kwa tuhuma za kufanya uchochezi kupitia wimbo wake wa ‘Amkeni’.
Akiambatana na wakili wake Jebra Kambone, Ney wa Mitego amesema ameachiwa kwa dhamana baada ya mahojiano yaliyochukua takribani saa tatu na kukamilisha masharti aliyopewa.
Ney wa Mitego alifika katika Kituo cha Polisi Central, Dar es Salaam baada ya kuitwa kwa ajili ya mahojiano.
Hata hivyo Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema halihusiki na kuitwa kwake polisi licha ya kwamba wamemuita mara kadhaa kufika katika ofisi hizo lakini hakuitikia wito huo.
“Tumetoa wito mara mbili kwa ajili ya maadili ya kawaida tu lakini kwa bahati mbaya sana hakuwahi kutokea, na jana tumeandika wito mwingine tukimtaka aje Ijumaa saa 4 asubuhi hajatujibu, sijui kama atakuja ama hatokuja.
Mambo ya polisi nafikiri hayo ni masuala ya kijinai, sisi tunahusiana na masuala ya Sanaa tu wala hatuna jukumu la kwenda kumshitaki,” amesema Mwanasheria wa BASATA, Christopher Kamugisha.
Chanzo: Swahili Times