Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi

Mama anaupigwa mwingi, kafungulia uhuru wa kujieleza, mama anapenda kukosolewa, yaani ilikuwa nani kama mama! 🤣 🤣 🤣 🤣 Watanzania upenda kusifia mambo bila tafakuri ya kina!
 
Serikali ni dude kuuuubwa

inaweza ikashughulikia Umeme na mafuta na huku ikishusha Wenge la wenye vihele hele bila ya muingiliano
Hilo dude kubwa lililoshindwa kudhibiti wizi wa bandarini hadi kuamua kumpa DP World bandari, hilo dude litakuwa ni kubwa jinga.
 
Kitu simple kama KATIBA MPYA tu ambayo ni mali yetu sisi Wananchi hawataki kutupa.

Wanajifanya kutuhadaa na mambo ya Kitoto.
Katiba mpya ngumu kuipata hadi watu flani wasiwepo bila hivyo tutaimba sana.. katiba mpya kuna watu wameikalia
 
Amemchochea nani? Sisi wananchibona hatujachocheka?
 
Mama anaupigwa mwingi, kafungulia uhuru wa kujieleza, mama anapenda kukosolewa, yaani ilikuwa nani kama mama! 🤣 🤣 🤣 🤣 Watanzania upenda kusifia mambo bila tafakuri ya kina!
Mama anaweza kuwa na lengo zuri kwa Watu wake, lakini amezungukwa na Machawa Makupe na kila aina ya Nasty Bugs
 
...Kama upo upande wa ney nipe likee
 
Hivi ukiwa na kazi ambayo unaona kabisa huiwezi, si ukijiuzuru utaonekana wa maana zaidi na kuheshimika? Sielewi kwa nini huyu mama hadi leo hajakubali kuwa urais si fani yake?
 
Sio muda anatimkia Marekani au Canada akiwa kama mkimbizi wa siasa.
 
Hebu nifafanulie zaidi Mkuu?
Watu ambao wamejilimbikizia mali kwa mda mrefu sana katika hii nchi, kwa njia ambazo sio sawa, wamekita mizizi mirefu sana .. usifikiri itakuwa rahisi wao waruhusu katiba mpya wakati wanajua itawang'anata
 
Wanaitwa wazee wa kuwabambika kesi raia

Lakin mwisho wao uko karibu sana kuliko ilivyokuwa awali
 
Watu walishasahau hiyo nyimbo … mmeamua kurudisha tena … mi nahisi MAMA SAMIA anachafuliwa kwa makusudi
 
Hao polisi Huwa hawajifunzi? Mbona wanapenda kujiabisha kiasi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…