Hakika na ile sauti ya bibie ikichombeza ilikua nzuri sana..Elewa baby
Ninachosema, wasije wakasema nakupiga...longolongo!
Ni kama chocolate
Ama vanilla
Ilivyo muhimu katika ice cream
Ni kama maji, ama chakula
Ulivyo muhimu maishani mwangu!
Mzani hauwezi kupima uzito wa penzi langu juu yako!!
Umenikumbusha mbali! Star TV miaka hiyo walikuwa wanapenda sana kuipiga.
Mb Dog!!1. Mb Dog (Inamana, Mapenzi kitu gani, Sagaplasha)
2. Pasha (Ni soo, Hidaya)
3. Dulayo (Naumia roho)
Muziki unaishi#
Bibie aliuwa mule!Hakika na ile sauti ya bibie ikichombeza ilikua nzuri sana..
ni miaka zaidi ya 4 niliona youtube media moja ikielezea kifo chake. Kama una uhakika zaidi sio mbaya ukatujuza hapa mkuuVoice wonder kafa lini? Una uhakuka brother?
Hakika kilikua kizazi bora sana cha muziki wa kizazi kipya..Bibie aliuwa mule!
Halafu na cheka yake ile ya kimahaba!
"Ni miaka sita sasa na miezi kadhaa,Hakika, na huyu voice wonder sijui alipotelea wapi? Nakumbuka ule nyimbo zake za "nimpende nani na ule wa nimekosa Mami" moja kati ya nyimbo zenye mashahiri safi sana.
Au kuna ile aliimba na Juma nature, sijui inaitwa hajazaa ile ๐ ๐ ๐ ... Talent zilikuwepo ila biashara ndio haikuwepo ila sasa talent hamna sana but biashara ipo.
Huyu jamaa mbona nishaona akihojiwa kwenye radio just last year. Hahaha yupo Haini miaka zaidi ya 4 niliona youtube media moja ikielezea kifo chake. Kama una uhakika zaidi sio mbaya ukatujuza hapa mkuu
Binafisi niliona ilikuwa mwaka 2019 huko youtube.Kama yupo hai ni vyema hizi habari huzuka tu mara nyingi hata bony mwaitege alizushiwa kafariki hadi na picha za ajari zikatengenezwa ingia yotube utaona.Huyu jamaa mbona nishaona akihojiwa kwenye radio just last year. Hahaha yupo Hai
Unadai kafa miaka 4 hii interview yake 2023.
View: https://youtu.be/pvWqj62RNj0?si=47LvhaWoLGkM18Gq
Suma Lee kawa ustaadh sasahiviJamaa anajua sana, moja ya wasanii walioacha muziki soko likiwa bado linawahitaji. Mwingine ni Suma lee wa Tanga
Hatari sana ๐ ๐"Ni miaka sita sasa na miezi kadhaa,
Niliyempenda mpaka sasa hajazaa,
Inanisikitisha inaniuma sana,
Mpaka sasa mpenzi hajazaa"
Kuna ile saida kaloli alimba na banana zolo ni hatariKuna ile inaitwa mapenzi ni ya wawili kaimba sana..
Mb dog bwana namkubali sana sijawahi ona kama yeye kwenye mziki wallahMB Dog ni msanii ambaye nakubali ngoma zake vibaya mno. Number one artist nyimbo zake zote zilikuw pin. Ina maana, Si ulinambia hizi hits they were before time. - MB Dawg man if you reading this just you know big respect for your work.
Kuna jamaa akitoa nyimbo Lisa by R Tony naikubaki sana ile ngoma. Ngoma nyingine ambayo ni all time for me ni H - Mbizzo - Mchumba. Mungu alaze roho yake mahala pema, hii ngoma nitazeeka nayo inshallah. .
Pasha ngoma zake one time nilikuw naimba zote. Dah miaka hiyo nyimbo ikitoka lazima ukariri
Walikuwa wanaitwa 2 berry kabla hawajasambaratika (berry white &black) producer alikuwa Shirko (kama kumbukumbu zangu zipo sawa huyu alikuwa mkenya)Kuna ile ya Berry black - na wewe tu
Oyaaa๐ฅฐ๐๐๐
hatari sanabasi muziki si mchezo
Ningeomba unixalie kitoto cha kiume tukiite "MB Dog"Mb dog bwana namkubali sana sijawahi ona kama yeye kwenye mziki wallah
Kundi Lao lilikuja vunjika. Berry Whitenand Berry Black, walitisha sana enzi zaoKuna ile ya Berry black - na wewe tu
Oyaaa๐ฅฐ๐๐๐