Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

😄
😄 😄 😄 😄 Sasa support si hisani mtu anakufanyia. Kwani lini iliandikwa kuwa msaada ni lazima upewe?🤣
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ustaa na hela. Hivyo ni vitu ambavyo vinawachanganywa wanawake kwa 90%
 
Lakini so Ruge ameshakufa maana alikuwa anaangushiwa zigo la kila lawama.
Haya mambo kwa madada yapo tu kqa vyombo vyote. Ndio maana hata wasafi utakuta show wana akina sijui nai official wakati hata kuimba hawajui wakina ruby hawana muda nao
 
Watoto wa kike ukiwa kwenye michakato wanakuonaga boya tu.
 
Aangalie feni lile lisipite na hilo wigi bei mbaya.
Bwa mdogo anaelalamikiwa tumekaa nae kitaa kino mshamba tu miaka hiyo hana senti kumi,
Sijui hizi hela wanatoaga wapi.
Ruby papuchi inaliwa tu ila mpaka apende maana hapo anangenga kuna katoto kanamsumbua sasa alikatoa wapi km hajapigwa pipe?
Huku hupokei simu ukipigiwa huku unapiga simu haipokelewi unalolom🤷‍♂️
 
Hata kama ni mimi, yaani nikusaidie tuu kutimiza ndoto zako halafu mi nikitaka kupoza stress zangu kwako unabana?!. Alaaa. Hiyo live yake hata sijaona cha maana alichoongea humo. Ni mi bwabwajo tu. Si angeamua kukaa na li **** lake akaachana na Majizzo, unamlazimisha mtu akusuport?!!!
 
Sio bongo. Thats a rule of nature.
 
Ngoja nkrudi bongo ntaongea na Ruby tuone cha kufanya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…