Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

😄
Ruby anacholilia hapo ni kuwa kafanyishwa sana shoo za laki tano tano na kajitoa sana kwa Majizzo lakini Majizzo yeye anachompa kama return ni kumuomba mzigo, na alivyokaziwa mzigo akaamua kumfungia vioo na hamsapoti kazi zake, tukizungumzia sapoti tunamaanisha kazi zake kupigwa kwenye Radio na TV
😄 😄 😄 😄 Sasa support si hisani mtu anakufanyia. Kwani lini iliandikwa kuwa msaada ni lazima upewe?🤣
 
Pale kwa Majizzo, Lulu alikwisha piga Lock kitambo, hakuna mtu kuvamia kambi.... Mpaka anaenda Jela alihakikisha hakuna Haramia anayeingia kwa Majay na kuweka kambi ya moja kwa moja, mtoto yule ni Jasusi.

Mi ninachoshangaa ni kwa nini hawa mastaa wa kike wanazunguka kwa Wanaume wale wale... Mobetto kazaa na Majizzo na Diamond, Yani wanazungukana, mbona wanaume ni wengi sana.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ustaa na hela. Hivyo ni vitu ambavyo vinawachanganywa wanawake kwa 90%
 
Vanessa Mdee alishawahi kulalamika kuwa wasanii wa kike ni ngumu mno kutoboa kutokana na vikwazo wanavyokutana navyo kwenye tasnia ya muziki. Imagine mtu kama Lina Sanga kuna yule binti anaitwa Pipi alikuwa na sauti nzuri sans lakini aliacha kuimba. Hata Angela wa Harmonize figisu ni nyingi kwa mabinti. Vanessa hataki tena kusikia habari ya muziki wa bongo na alikuwa na talent kubwa.
Lakini so Ruge ameshakufa maana alikuwa anaangushiwa zigo la kila lawama.
Haya mambo kwa madada yapo tu kqa vyombo vyote. Ndio maana hata wasafi utakuta show wana akina sijui nai official wakati hata kuimba hawajui wakina ruby hawana muda nao
 
Majuto ni mjukuu... Uenda Ruby alishindwa kumshikilia majizo kwa sababu labda kwa kipindi hicho hakuona future yoyote kwa majizoo... Wakawake mnatabia moja, mtu akiwa hana future kwa wakati huo mnamuonaga fala tu, mambo yakitiki mnaanza kumpaparukia, unakuta Lulu yeye aliamua kuwa mvumilivu.

Alafu ukicheki hili povu la Lulu limetoka kipindi Majizzo ametoka kuzindua Studio mpya... Ina maana Ruby kuna ka Wivu kameanza kuingia, kuona dhahabu inang'aa baada ya yeye kuchengana nayo [emoji23]
Watoto wa kike ukiwa kwenye michakato wanakuonaga boya tu.
 
Aangalie feni lile lisipite na hilo wigi bei mbaya.
Bwa mdogo anaelalamikiwa tumekaa nae kitaa kino mshamba tu miaka hiyo hana senti kumi,
Sijui hizi hela wanatoaga wapi.
Ruby papuchi inaliwa tu ila mpaka apende maana hapo anangenga kuna katoto kanamsumbua sasa alikatoa wapi km hajapigwa pipe?
Huku hupokei simu ukipigiwa huku unapiga simu haipokelewi unalolom🤷‍♂️
 
Hata kama ni mimi, yaani nikusaidie tuu kutimiza ndoto zako halafu mi nikitaka kupoza stress zangu kwako unabana?!. Alaaa. Hiyo live yake hata sijaona cha maana alichoongea humo. Ni mi bwabwajo tu. Si angeamua kukaa na li **** lake akaachana na Majizzo, unamlazimisha mtu akusuport?!!!
 
Haka kaRubby kenyewe kutwa kugombana na wamiliki wa Media.

Alianza kukorofishana na Ruge na sasa Majizo.

Ila napenda sana spirit yake ya kutonyenyekea pale anapoona kuna njama za kumlaghai na kumkandamiza.

Bahati mbaya sana Bongo, usipotoa kitu hupati kitu.
Sio bongo. Thats a rule of nature.
 
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.

Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".

Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.

Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View attachment 2750841
Ngoja nkrudi bongo ntaongea na Ruby tuone cha kufanya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom