Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Wapo kwani wenzet mnaish tanzania ganiTwende mbele turudi nyuma.
Karne hii nani hana simu? Achana na wanafunzi and the like.
We binafsi Ushawahi meet mtu hana simu??
Nilisoma tu title.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo kwani wenzet mnaish tanzania ganiTwende mbele turudi nyuma.
Karne hii nani hana simu? Achana na wanafunzi and the like.
We binafsi Ushawahi meet mtu hana simu??
Nilisoma tu title.
Huku huku Mbagala. Lakini naona wote tuna visimu vya mchina.Wapo kwani wenzet mnaish tanzania gani
Kuna watu bado hawana simu ebu acheni ushamba ukiwa nacho wewe usidhani kila mtu anaweza kuwanachoMpaka kids 🧒 wanamiliki simu kwa karne hii.
Tafuta kuna ambao hawana pia japo sio wengiHuku huku Mbagala. Lakini naona wote tuna visimu vya mchina.
Sasa mtafanyaje🤷♂️🤷♂️Sikuzote Iko ivo
Sasa mnataka ziliwe na wanaume wenzenu?Wala pesa zetu wamekuja
Mwanaume rijali hawezi kujiita KISS.Hivi kwa uzoefu wako hapa jf huyo KISS 100 ni Me ama Ke?
Washitaki rasmi ndipo hatuwa za kisheria zinaweza kuchukuliwa, la sivyo inabaki kuwa ni udaku tu.Previous Vanessa Alisema rushwa ya ngono ni issue kubwa sana kwa industry . Na kuna report Majizzo was after her na aliamua kuacha mziki Kabisa . Currently ruby Anasema Tena . The same things . Same person yupo accused . Sasa Till when tutachukua hatua hata kumuoji ? Why ? What measures anachukua on his company?? Why just him ?! Watu wanamuangalia tu ?!!
Udaku doesn’t go live in public that’s a serious accusation . PR. DamageWashitaki rasmi ndipo hatuwa za kisheria zinaweza kuchukuliwa, la sivyo inabaki kuwa ni udaku tu.
You think, Vanessa mdee was well connected .she didn’t have to say that . Unless he was serious & wanted to marry Vanessa she said no . Which I could agree . Shule na media experience ipo pale . Lulu is a useless wife .Vanessa na Ruby wote walikua wana madepression ya mahusiano na wanaume zao wa Dar waliokosa future kazi kulamba lips tu,
Vee akadondokewa na bahati ya mtende, sasa mwenzangu na mie Ruby kazi anayo.
Go for a date , ask her properlyNi hakuna mwanaume ambaye hajawahi kuomba mzigo kwa kutumia nafasi yake hata kama ni ndogo kiasi gani.
Yaani ukishakuwa mwanaume hata vivulana vidogo vitatumia mwanya hata wa bomba la maji ulilowaachia pale nyumbani kuombea mzigo.
Utasikia uwe unachota bure kila siku ila na wewe jiongeze.
Shida ndugu zetu wadada huwa wanatafsiri tofauti.
Utakuta ulikuwa unampa lifti kila siku, ukiomba mzigo tu shida. Anaenda kukutangaza kwamba kisa ki-IST chako unamwomba mzigo.
Nani achukue hatua wapi who is clean when unyanyasajiPrevious Vanessa Alisema rushwa ya ngono ni issue kubwa sana kwa industry . Na kuna report Majizzo was after her na aliamua kuacha mziki Kabisa . Currently ruby Anasema Tena . The same things . Same person yupo accused . Sasa Till when tutachukua hatua hata kumuoji ? Why ? What measures anachukua on his company?? Why just him ?! Watu wanamuangalia tu ?!!
Rushwa ya ngono Tanzania ni sifa njema kibongo bongo, ingekuwa majuu jamaa angekuwa nyavuni akinyea ndooPrevious Vanessa Alisema rushwa ya ngono ni issue kubwa sana kwa industry . Na kuna report Majizzo was after her na aliamua kuacha mziki Kabisa . Currently ruby Anasema Tena . The same things . Same person yupo accused . Sasa Till when tutachukua hatua hata kumuoji ? Why ? What measures anachukua on his company?? Why just him ?! Watu wanamuangalia tu ?!!
Tatizo mabinti wanataka wapate treatments za ndoa kutoka kwa wanaume ambao sio wao. Mtu anakupaje lift tu kizembe?Ni hakuna mwanaume ambaye hajawahi kuomba mzigo kwa kutumia nafasi yake hata kama ni ndogo kiasi gani.
Yaani ukishakuwa mwanaume hata vivulana vidogo vitatumia mwanya hata wa bomba la maji ulilowaachia pale nyumbani kuombea mzigo.
Utasikia uwe unachota bure kila siku ila na wewe jiongeze.
Shida ndugu zetu wadada huwa wanatafsiri tofauti.
Utakuta ulikuwa unampa lifti kila siku, ukiomba mzigo tu shida. Anaenda kukutangaza kwamba kisa ki-IST chako unamwomba mzigo.
Andiko lako umeliremba sana na linavutia kusona lakini ni upuuzi mtupu.Kampuni ni yake ana haki ya kuiendesha anavyotaka hakuna wa kumpangia. Ile sio ofisi ya serikali kusema anawazuia watanzania kufanya nae kazi.
Kama kaomba gemu (hajatumia nguvu yaani kubaka) then demu ana haki ya kukubali au kuchomoa sio lazima. Ila ulalamishi waache.
Tunawaambia kila siku hapa Dunia au ulimwengu una mambo yake, the only safe space ambayo mwanamke una guarantee ya kupewa attention na care ni kwenye familia ya wazazi wako au kwenye familia yako ya ndoa. Huku nje usitegemee any special treatments as if anybody owes you special treatments.
Waache kulalamika wachague kupigwa mashine then wapate wanachoomba au wapite hivi. Wanaume wanazinguliwa kila siku na walishalalamika nao ila wameamua kukubali.
Mliyasikia pale clouds Media why mshangae kwa majizo. Yaani mtu ajenge empire lake wewe mtoto wa kike uende kirahisi rahisi akubebe utoboe ujenge maisha yako yeye asipate chochote, how is that benefits both sides?