Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Sana mzee pale calabash ndo kilikuwa kijiwe chao kikubwa ....bongo movie mond kaacha lulu tu na bahati yake alipata secured place ya majizo mond ametafuna aunty Ezekiel, kajala,uwoya,masogange,wolper,rose ndauka...baba acha kibas mtoto wa tandale amewakongorii sanaDuu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.
Sana mzee pale calabash ndo kilikuwa kijiwe chao kikubwa ....bongo movie mond kaacha lulu tu na bahati yake alipata secured place ya majizo mond ametafuna aunty Ezekiel, kajala,uwoya,masogange,wolper,rose ndauka...baba acha kibas mtoto wa tandale amewakongorii sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.
Ni mwanamke maarufu kwa wizi wa waume za watu TanzaniaNi nani? Simfahamu! Taarifa zaidi tafadhali
Mbona sijaibwa hadi Leo? Mwanaume anaibwaje?Ni mwanamke maarufu kwa wizi wa waume za watu Tanzania
We jamaa unajua kuponda kingese[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kwa sababu wana tamaa ya maisha ndiyo maana Mondi alikuwa anawakojolea kwa kuwakomoa. Cha kushangaza eti Hamisa Mobeto bado mpaka leo analilia kuolewa na Mondi ili awaonyeshe wenzake waliopitiwa na Mondi kuwa yeye kapendwa zaidi. Mademu wa kibongo bwana, njaa inawatesa sana. Angalia kina Wema, Aunty Ezekiel, Kajala, wanaishia kudanga tu huku wanaume wa maana wamewasusa.
Hayo maneno ya mtandaoni ila jamaa kawagonga sana.Jamani mbona watu wanasema mwenye mkoa wake si lijali kamili.....eti naye anapakatwa mtaa wa pili. Kuna mwenye mkoa mwingine zaidi ya huyu tumjuwe?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji122][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haki ya Mungu we jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni hivi, si unaona wewe hapo ulipo....unakuja kujigonga kwangu kisha mimi naingia kingi nakuomba andazi, nawe unanipa bila ubishi ukijuwa umelifukizia madawa. Nikikuingia tu nanaswa na ninakupa urithi wa nyumba zangu nawe unatajirisha familia yako huku nami nikimsusa mke wangu na watoto. Umeshaelewa mpaka hapo, Kina Mama mnafanya sana haya haswa mademu wa Kichagga na Kipare, nashangaa wewe Mchagga wa wapi hujuwi hili.
Uwoya nasikia anatabia akikukubali ana kutongoza mwenyewe,ila unakuwa special kwa ajili ya kumuondolea nyege akikuchoka anakutupa,hawa akina Kala na Linex waliangukiwa na zali hilo,wakawa wanajifanya king'ang'anizi wakambiwa "hela mnayo" ikabidi wao wapole.Sana mzee pale calabash ndo kilikuwa kijiwe chao kikubwa ....bongo movie mond kaacha lulu tu na bahati yake alipata secured place ya majizo mond ametafuna aunty Ezekiel, kajala,uwoya,masogange,wolper,rose ndauka...baba acha kibas mtoto wa tandale amewakongorii sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi, si unaona wewe hapo ulipo....unakuja kujigonga kwangu kisha mimi naingia kingi nakuomba andazi, nawe unanipa bila ubishi ukijuwa umelifukizia madawa. Nikikuingia tu nanaswa na ninakupa urithi wa nyumba zangu nawe unatajirisha familia yako huku nami nikimsusa mke wangu na watoto. Umeshaelewa mpaka hapo, Kina Mama mnafanya sana haya haswa mademu wa Kichagga na Kipare, nashangaa wewe Mchagga wa wapi hujuwi hili.
Mtu mwenye corona anapigaje kelele kama mama jusi wa mashariki!Kwani anashinda akipiga makelele kama mamajusi wa mashariki.
Jamani isije tu ikawa Corona nyie mnasema karogwa.
Mademu wa bongo movie wanaroga balaa...Sengo Matilda alimseti jamaa yangu flani akawa kama fala, afu jamaa anajua kabisa katengenezwa kujitoa sasa ndio shida. Bongo movie watakuacha ukiishiwa ama akipata danga jipya litakalombadilishia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wake ni upi hasa?! Au ni zile nyama zilizojaa bila mpangilio?Ila huyu dada asikwambie mtu ni lizuri kinoma...siku moja nimeliona kazini nilivurugwa kabisa..halafu lilikua linatabasamu...
Wadangaji china virus haiwaachi wengi cd4 hakunaMwenzangu hata mie nikasema hivyo hivyo, isije ikawa limemkuta jambo mdangaji mwenzetu[emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo mtu katili atajiongezea virus tu maana bongo movie ndio transformer ya gridi ya taifa. Noma sanaDuu kumbe Mwenye mkoa wake kapiga mpaka Masogange hili toto Maso ndio lilikuwa hatari.Ila bongo movie siku akitokea mtu katiri,ana hela,ana ngoma yaani anaweza akawaambukiza mademu wote wa bongo movies,wengi wanatamaa njaa kali,alafu wanapenda maisha ya gharama wakati mifukoni hawana kitu.
Duu....Huyo mtu katili atajiongezea virus tu maana bongo movie ndio transformer ya gridi ya taifa. Noma sana