Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

Saivi hata sio mzuri kashazeeka mi hapa niko navutia picha ya movie aliyoigiza akiwa na marehem kanumba
 
Sasa kuna hiyo moja enzi za Wema na Mondi,kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa John Mangi alipiga hela TANAPA,akafungua grocery yake karibia na Tabata Shule,inafunguliwa kashusha Bongo Movies akina Kanumba,Aunt,Wema nk mwanzoni wahudumu wakawa kama bongo movie,jamaa alikuwa anatembea na maburungutu ya hela kwenye gari,bongo movie wamekula hela yake sana.

Basi bwana Mondi akaambiwa demu wako Wema yupo Tabata na Kipopa,Mondi huyo na ndinga yake kufika pale,wakamwambia Wema hayupo yupo kwao,Kumbe yupo na John Mangi hotelini anajipigia,huyu jamaa nae kapiga sana Bongo movies.
 
Hata msami,lavalava...msami mpaka walitoa movie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyalandu naye kawafumua aise daaah kuna hotel moja pale Arusha kama ingekuwa inaongea ingetoa ushuhuda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nae asituchoshe, aibiwe ana pesa ya kumnunulia Iphone 11 pro ? Ana pesa ya kumpangishia mbezi beach ? Mxiew labda akaibiwe na ma Housegurl


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu skuwez lol mweeeeeh, wee bit kiboko nakugawa bureeeee uwiiiiiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…