MTOTO WA KUKU amewahi kujitambulisha humu kwenye mjadala flani na ni muigizaji na director Nguli aliyesimamia mapinduzi ya filamu Bongo na amewatoa wasanii wengi akiwemo marehemu Kanumba.......
Ruttashobolwa kutumia ID feki ni kukupa uhuru kutoa mawazo yako ndio maana hata mawaziri humu wanatumia ID feki ukitoa Mama Tibaijuka anayetumia jina lake halisi.....
Ray kigosi ndio nani?
Jamani kamuulize google duu
Aiseee namuona Steve Mengele kwenye picha hapo.....anarudi utotoni.
MTOTO WA KUKU ni yule mwenye jina la kibena lenye maana ya MWEUSI mzee wa kampuni ya film ya fist g...........e qu...........ty.ukiangalia vizuri hiyo picha ya waliobeba mwili wa marehemu yupo
Mkuu MTAZAMO nimesha mpata ni mzee wa game first quality.MTOTO WA KUKU amewahi kujitambulisha humu kwenye mjadala flani na ni muigizaji na director Nguli aliyesimamia mapinduzi ya filamu Bongo na amewatoa wasanii wengi akiwemo marehemu Kanumba.......
Ruttashobolwa kutumia ID feki ni kukupa uhuru kutoa mawazo yako ndio maana hata mawaziri humu wanatumia ID feki ukitoa Mama Tibaijuka anayetumia jina lake halisi.....
Mkuu MTAZAMO nimesha mpata ni mzee wa game first quality.MTOTO WA KUKU amewahi kujitambulisha humu kwenye mjadala flani na ni muigizaji na director Nguli aliyesimamia mapinduzi ya filamu Bongo na amewatoa wasanii wengi akiwemo marehemu Kanumba.......
Ruttashobolwa kutumia ID feki ni kukupa uhuru kutoa mawazo yako ndio maana hata mawaziri humu wanatumia ID feki ukitoa Mama Tibaijuka anayetumia jina lake halisi.....
kuna thread mmemsema sana mara mwizi,sasa imekuwa ulikuwa unapenda sauti yake!Nilikua napenda sauti yake RIP Adam jaman kina Wema watazabwa makofi na nani sasa
Mi ntahesabu watakaozimia msibaniiwq
Ray kigosi ndio nani?
Tema Mate chini hii kitu hii kitu hii kitu hii ni hatari bakini njia kuu.
Huyo steven nyerere naona Ngoma inazidi kumtafuna,navyomjua lazima awepo kwenye kamati ya mazishi,RIP Adam
kuna thread mmemsema sana mara mwizi,sasa imekuwa ulikuwa unapenda sauti yake!
MTOTO WA KUKU ni yule mwenye jina la kibena lenye maana ya MWEUSI mzee wa kampuni ya film ya fist g...........e qu...........ty.ukiangalia vizuri hiyo picha ya waliobeba mwili wa marehemu yupo
Huyo steven nyerere naona Ngoma inazidi kumtafuna,navyomjua lazima awepo kwenye kamati ya mazishi,RIP Adam