TANZIA Msanii wa HipHop SALU T afariki dunia

Nasikia alikuwa ni Shabiki mkubwa sana wa Yanga SC hivyo huenda mambo yakawa yameshatiki kwa Babu.

Simba SC Kesho mkipona sijui kwani nasikia tena kuna Mchezaji wao Kafiwa na Baba yake Mzazi.

Shikamooni Yanga SC na huyo Babu.
 
Nasikia alikuwa ni Shabiki mkubwa sana wa Yanga SC hivyo huenda mambo yakawa yameshatiki kwa Babu.

Simba SC Kesho mkipona sijui kwani nasikia tena kuna Mchezaji wao Kafiwa na Baba yake Mzazi.

Shikamooni Yanga SC na huyo Babu.
We ng'ombe inatakiwa upelekwe milembe Dodoma maana kichwani sizani kama ubongo wako unafanya kazi vizuri..
 
Siku moja nilienda Micassa lounge Pale ubungo kushudia freestyle battle. Nakumbuka kulikua na kipengele cha "michano" hapo emcee unapewa beat unaanza kuchana. Huyu jamaa alikiwasha Sana.
Nakumbuka Slogan ndo alikua anasimamia shoo akasema Salu T ndo kamfundisha Nikki mbishi Ile staili yake ya uandishi na kifloo... Da nilifurahi Sana maana binafsi bongo nzima hakuna MC wa hip-hop nayemkubali Kwa rap style Kali kuliko Nikki Mbishi...

R.I.P Salu T
 
Huyu jamaa nmeishi naye sana! Kyela
nimemuuzia sana
tshirt
 
R.I.P Salutaba A.K.A Salu T, your legacy lives on, binafsi, Ngoma zako za Sikio la kufa, Uzoefu, Chunga Sana zitaishi katika kichwa changu mpaka Mauti yatakaponifika. Mungu akusamehe makosa yako uwe katika waliosalimika na gadhabu zake, Aamin.
 
Watch your back young man! Wenye Jamii Forums yao wakikuotea na huku, sijui utakimbilia wapi tena.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…