Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi namshangaa.....kaanza kupaniki hana maana kabisa.mzee badala ya kujibu maswali eti anatusomea tu katiba.
du kufa tena!:twitch:Hivi msekwa hajafa tu? bado anafanya ufisadi wake?:twitch:
Mzee ana jazba na waulizaji nao wana jazba...leo kazi ipo...msekwa anafanya kupoteza muda ili kupunguza maswali.....