Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Israhell mwenye uwezo wa kuishinda hizbullah anangojea nini kuimaliza
 
Waisrahell hawatakaa warudi kule hii imeisha na Haifa washaanza kuikimbia hizbullah kamatieni hapo hapo
 
Umeandika gazeti ila halina maana yeyote ile mbona
 
Yale yale ya El sahaf mkwala wake kwa wamerican kwamba makuburi yao wote yatakuwa Baghdad,yaani waarabu akili zao bora hata kinjeketile.
 
Hamas ipi Jana mazayuni 15 yamefyelwa mateka kuwakomboa musahau wale magaidi wakikaa Sawa Wanafyekwa tuuuu
Hamas hii-hii inayoimba "anaua wanawake na watoto". Kufyekwa ndo uhalisia wa vita.Vita sio sawa na kucheza vigodoro.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hezbollah wa Jamiiforums na wale wa Aljazeera, ukiangalia Aljazeera ambako unapata uhalisia wa matukio yanayotokea utaona jinsi watu wabavyopoteza maisha sababu ya hizi vita hasa lebanon na Gaza,

Jamani vita sio vya kushabikia, Yaani umekula ugali wako tembele afu unashabikia mauji ya binadamu wengine, hapana tuwe na huruma kiukweli.
 
Wafuasi wa Mud bhana kwahiyo mnaamin kwamba Hezbollah wanawaeza ishinda Israel??
 
Sisi atuamini lkn ile Vita ni yakijinga mmoja analengo kupola ardhi ya wanyeji tena kwanjia ya kuuwa wenyeji kwaiyo kushida au kushindwa itategemea yule mpolaji kashinda vita na anaishi kwa aman ndani ya ardhi ya aliopola k kinyume chake yani uko Israel akuna aman jua Israel ajashinda vita bado mbichi ww umeikuta na ww utaiyacha adi miaka 100 mwarabu atoweka siraaa chini kama ajaweka kwamiaka50 jua mbungi hii inaenda kuwa tamu mana wenyeji wenye ardhi yao kwasasa wananguvu kias cha kumfanya mfamizi yeye na raia wao wanaishi zaid kwenye mapango ili tu wameishangaza dunia swali je wenyeji awana i viuma vyakutindua yale mashimo wanamojifichia kama panyabuku ikifika apo hii picha au mbungi inaenda mwisho wake. Kuwa mpole kijana kunywa togwa lingi kupunguza msongo w mawazo,
 
Kwamba baada ya kuwaua ndio watu wameregelea kaskazini ama
Hao wamehama eneo. Makamanda wamehama dunia. Lakini si mbaya, wametangulia tu ila safari yetu ni moja! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kaka faamu iyo aljazeera inatumia mifumo ya Ulaya kurusha matangazo yake kwaiyo aipo huru kias unavozani wazungu wanaibana ifuate miongozo yao au wataitoa ktk mfumo wao kwaiyo aljazeera sio huru mkuu. Wazungu waongo sana kuusu uhuru w Media wazandiki kupitiliza mkuu. Ona apakwetu AzAM media walikuwa na RT. Y Russia, Na CCTV ya china zote wametakiwa kuzitoa lkn chanel zao kibao zimejaa AZAM na wazungu ndio wanaozibiti mifumo ya TV icho kitengo kipo ULAYA wanatoa na leseni ukienda kichume wanakuzuiya kutumia mitambo yao,, . Kwaiyo aiko huru sio kama unavyozani wazungu wanakufinya kimyakimya.
 
S
Sio gazeti umeandika uharo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…