Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Kujifariji ni jambo jema kwake aliyeishiwa mbinu.

Hezbollah wanaoamini kuwa Wayahudi hawatakiwi kuwepo Duniani, bali kuangamizwa wapotee, kama wangekuwa na uwezo huo unaosema, wangekuwa waliishautumia. Wanachofanya Hezbollah, ndipo uwezo wao ulipoishia.

Haya makundi ya kigaidi wakati wote yamekuwa yanawadanganya wapalestina kuwa yatawamaliza wayahudi wote, na wapalestina watamiliki ardhi yote, na baadhi yao, kwa ujinga wao, wanawaamini.

Hezbollah hawana uwezo wa kushinda vita na Israel, ila wanaweza kuharibu amani ya Israel., siyo zaidi ya hapo.

Tuwaombee wapalestina waijiwe na hekima, waachane na haya makundi ya kigaidi, wafanye maelewano na Israel ili wote waishi kwa amani, wakijua kuwa maadui wao wakubwa ni haya makundi ya kigaidi. Makundi haya ya kigaidi ni hatari kwa amani ya Mashariki ya kati nzima, ndiyo maana hakuna nchi inayoyataka zaidi ya mfadhili wa ugaidi, Iran.
Israhell mwenye uwezo wa kuishinda hizbullah anangojea nini kuimaliza
 
Nnachowapendea IadF maneno kidgo vitendo vingi.

Ingekuwa bila ground tusingeona Yale ma tunnels kule Lebanon. Tusingeona viporo vya silaha walizokimbia Hizbullah baada ya kipondo kuwa kingi., tusingeona wanajidai elite force wakidakwa kama kuku mwenye kideli huko southern Lebanon.

Ukiona mtu anaongea sana ujue anatapatapa Yuko stage za mwisho kutupa taulo.
Waisrahell hawatakaa warudi kule hii imeisha na Haifa washaanza kuikimbia hizbullah kamatieni hapo hapo
 
Ni kheri kuangalia uhalisia wa mambo bila kushabikia upande wowote. Ukweli ni kwamba;
HAMAS kwa sasa hivi hali ni mbaya mno: kivipi?👇👇
1. Wanakabiliwa njaa kali kwani chakula cha msaada ni kidogo na hakifiki kwa muda stahiki na upatikanaji wa maji ni shida kubwa mno.Watu wanakunywa maji taka alimradi waweze kuishi.
2. Bado wanaandamwa na vita ardhini na angani na vyombo vya dola vinawanyamazisha kwa nguvu wale Raia wanaoonekana kuwa wapinzani wa HAMAS na ushahidi upo.
3. Kuna mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza na mahospitali mengi hayafanyi kazi au yamebomolewa na wahudumu kujeruhiwa/kuuawa.
4. Usambazaji au upatikanaji wa silaha umedhoofika sana kutokana na kulipuliwa kwa kiwanda cha kutengeneza makombora/maroketi huko Iran na Kivuko cha barabara kati ya Lebanon na Syria kimeharibiwa- hapapitiki tena ili ku-smuggle silaha ziweze kuwafikia huko Gaza.
Hezbollah anakabiliwa na:
1. Mapambano ya kivita esp. uvunjwaji wa majumba na miundo mbinu ya kijamii inaharibiwa kila siku na ndege za Israel na Hezbollah hana uwezo wa kuzuia na ndo mana IDF inatoa amri ya kuondoka/kuhama haraka kwenye eneo fulani na ndani ya muda mfupi tuu kitu kinatua na majumba yanasambaratishwa.
2. Raia wanahama-hama hovyo kwa amri ya IDF (evacuation notice) yan wamegeuzwa ni wakimbizi ndani ya nchi yao na hatujasikia hata mara moja kwamba Hezbollah imewasaidia kwa namna yoyote ile.
3. Upatikanaji wa silaha -makombora , maroketi umetatizika kutokana na kulipuliwa kwa kiwanda cha kutengeneza silaha hizo huko Iran majuzi hapo.
4. Misaada ya hali na mali (mafunzo na silaha) imedorora kwani mfadhili mkuu Iran naye anaandamwa na vitisho au "Piga nikupige" baina yake na Israel, halafu Iran pia amezidisha (imepanua wigo) Ufadhili kwa makundi mengi mengine ya kigaidi huko Syria, Iraq, Yemen n.k. kiasi kwamba ule mgawo kwa kila kikundi Unapungua.
Kwa wote HAMAS na Hezbollah:
D.Trump kuingia madarakani Hakukuwafurahisha HAMAS au Hezbollah kwani huyo mwamba historia yake na chama chake kuhusiana na mambo ya ugaidi inafahamika na tena kuna madai kwamba Iran ilifadhili lile jaribio la kumuua Trump kwa risasi wakati wa kampeni zake kuwania urais.
Samahani ndg. zangu naomba radhi nimeandika gazeti .
Umeandika gazeti ila halina maana yeyote ile mbona
 
Ujumbe ndio huo, msemaji wa Hezbullah anasema Israel hawezi kushinda vita kwa ndege, au kuvunja majumba na kuwauwa watoto au wanawake. Vita huwezi shinda bila ground force, na hicho kitu Israel hana. Anasema watakumbuka ujumbe wa Nasurlah Israel yupo katika ndoto, jeshi lake ni dhaifu kuliko nyumba ya baibui

Anawambia Waisrael wajiandae kuna miji mingi karibuni mtabidi muondoke siku sio nyingi. Hivi kuna dharau kama hio, si bora tu Israel asema nimeshindwa vita nioneni huruma 😄


View: https://youtu.be/56N6uuguVNs?si=IaKMYzXPTlGh6bUN

Yale yale ya El sahaf mkwala wake kwa wamerican kwamba makuburi yao wote yatakuwa Baghdad,yaani waarabu akili zao bora hata kinjeketile.
 
Hamas ipi Jana mazayuni 15 yamefyelwa mateka kuwakomboa musahau wale magaidi wakikaa Sawa Wanafyekwa tuuuu
Hamas hii-hii inayoimba "anaua wanawake na watoto". Kufyekwa ndo uhalisia wa vita.Vita sio sawa na kucheza vigodoro.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hezbollah wa Jamiiforums na wale wa Aljazeera, ukiangalia Aljazeera ambako unapata uhalisia wa matukio yanayotokea utaona jinsi watu wabavyopoteza maisha sababu ya hizi vita hasa lebanon na Gaza,

Jamani vita sio vya kushabikia, Yaani umekula ugali wako tembele afu unashabikia mauji ya binadamu wengine, hapana tuwe na huruma kiukweli.
 
Wafuasi wa Mud bhana kwahiyo mnaamin kwamba Hezbollah wanawaeza ishinda Israel??
 
Sisi atuamini lkn ile Vita ni yakijinga mmoja analengo kupola ardhi ya wanyeji tena kwanjia ya kuuwa wenyeji kwaiyo kushida au kushindwa itategemea yule mpolaji kashinda vita na anaishi kwa aman ndani ya ardhi ya aliopola k kinyume chake yani uko Israel akuna aman jua Israel ajashinda vita bado mbichi ww umeikuta na ww utaiyacha adi miaka 100 mwarabu atoweka siraaa chini kama ajaweka kwamiaka50 jua mbungi hii inaenda kuwa tamu mana wenyeji wenye ardhi yao kwasasa wananguvu kias cha kumfanya mfamizi yeye na raia wao wanaishi zaid kwenye mapango ili tu wameishangaza dunia swali je wenyeji awana i viuma vyakutindua yale mashimo wanamojifichia kama panyabuku ikifika apo hii picha au mbungi inaenda mwisho wake. Kuwa mpole kijana kunywa togwa lingi kupunguza msongo w mawazo,
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hezbollah wa Jamiiforums na wale wa Aljazeera, ukiangalia Aljazeera ambako unapata uhalisia wa matukio yanayotokea utaona jinsi watu wabavyopoteza maisha sababu ya hizi vita hasa lebanon na Gaza,

Jamani vita sio vya kushabikia, Yaani umekula ugali wako tembele afu unashabikia mauji ya binadamu wengine, hapana tuwe na huruma kiukweli.
Kaka faamu iyo aljazeera inatumia mifumo ya Ulaya kurusha matangazo yake kwaiyo aipo huru kias unavozani wazungu wanaibana ifuate miongozo yao au wataitoa ktk mfumo wao kwaiyo aljazeera sio huru mkuu. Wazungu waongo sana kuusu uhuru w Media wazandiki kupitiliza mkuu. Ona apakwetu AzAM media walikuwa na RT. Y Russia, Na CCTV ya china zote wametakiwa kuzitoa lkn chanel zao kibao zimejaa AZAM na wazungu ndio wanaozibiti mifumo ya TV icho kitengo kipo ULAYA wanatoa na leseni ukienda kichume wanakuzuiya kutumia mitambo yao,, . Kwaiyo aiko huru sio kama unavyozani wazungu wanakufinya kimyakimya.
 
S
Ni kheri kuangalia uhalisia wa mambo bila kushabikia upande wowote. Ukweli ni kwamba;
HAMAS kwa sasa hivi hali ni mbaya mno: kivipi?👇👇
1. Wanakabiliwa njaa kali kwani chakula cha msaada ni kidogo na hakifiki kwa muda stahiki na upatikanaji wa maji ni shida kubwa mno.Watu wanakunywa maji taka alimradi waweze kuishi.
2. Bado wanaandamwa na vita ardhini na angani na vyombo vya dola vinawanyamazisha kwa nguvu wale Raia wanaoonekana kuwa wapinzani wa HAMAS na ushahidi upo.
3. Kuna mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza na mahospitali mengi hayafanyi kazi au yamebomolewa na wahudumu kujeruhiwa/kuuawa.
4. Usambazaji au upatikanaji wa silaha umedhoofika sana kutokana na kulipuliwa kwa kiwanda cha kutengeneza makombora/maroketi huko Iran na Kivuko cha barabara kati ya Lebanon na Syria kimeharibiwa- hapapitiki tena ili ku-smuggle silaha ziweze kuwafikia huko Gaza.
Hezbollah anakabiliwa na:
1. Mapambano ya kivita esp. uvunjwaji wa majumba na miundo mbinu ya kijamii inaharibiwa kila siku na ndege za Israel na Hezbollah hana uwezo wa kuzuia na ndo mana IDF inatoa amri ya kuondoka/kuhama haraka kwenye eneo fulani na ndani ya muda mfupi tuu kitu kinatua na majumba yanasambaratishwa.
2. Raia wanahama-hama hovyo kwa amri ya IDF (evacuation notice) yan wamegeuzwa ni wakimbizi ndani ya nchi yao na hatujasikia hata mara moja kwamba Hezbollah imewasaidia kwa namna yoyote ile.
3. Upatikanaji wa silaha -makombora , maroketi umetatizika kutokana na kulipuliwa kwa kiwanda cha kutengeneza silaha hizo huko Iran majuzi hapo.
4. Misaada ya hali na mali (mafunzo na silaha) imedorora kwani mfadhili mkuu Iran naye anaandamwa na vitisho au "Piga nikupige" baina yake na Israel, halafu Iran pia amezidisha (imepanua wigo) Ufadhili kwa makundi mengi mengine ya kigaidi huko Syria, Iraq, Yemen n.k. kiasi kwamba ule mgawo kwa kila kikundi Unapungua.
Kwa wote HAMAS na Hezbollah:
D.Trump kuingia madarakani Hakukuwafurahisha HAMAS au Hezbollah kwani huyo mwamba historia yake na chama chake kuhusiana na mambo ya ugaidi inafahamika na tena kuna madai kwamba Iran ilifadhili lile jaribio la kumuua Trump kwa risasi wakati wa kampeni zake kuwania urais.
Samahani ndg. zangu naomba radhi nimeandika gazeti .
Sio gazeti umeandika uharo
 
Back
Top Bottom