Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Mchakato wa kuwapata/kuwakomboa mateka bado unaendelea na HAMAS iko ICU, na mwamba ana-deal perpendicularly na mzee wa maroketi a.k.a Hezbollah.
Hapa wamepunguza idadi ujue wamefyekwa zaidi ya kumi tuliwaonya wazayuni hawakusikia sasa acha waendelee kufa suala la kuikimbia Ghaza nisuala la muda tuuuu ⚡🇵🇸 The IDF announced the deaths of 4 additional soldiers in battles north of the Gaza Strip.

@medmannews
 
Kweli walijiandaa ndio maana juko wanakufa wanawake na watoto tu.
 
Kuna wanashabikia vita na sisi tunashabikia palestina kupata haki zao pia kuna mauaji ya hizbullah na hamas na kuna mauaji ya raia hayo unayoyaona aljazeera kwa 90 asilimia ni raia kama hamas na hizbullah wangekua wanakufa kwa kiasi unachoona aljazeera kuzingekua na vita muda huu na kusingekua na mateka anaeshikiliwa Ghaza
 
Uyoo kaona alikuwa live kusikia mlio w hatari kajua kalengwa yeye mbiooooo kwenye shimo lake 😃😃 afu wazayuni w mwakareli baada wanakuja na UZI kwann wazayuni wamebalikiwa akili kuliko watu wengine, ivi vichekesho vipo tanzania tu kwa walokole wetu!! Yani Waisrael wanaishi kama fungo chini ya udongo!!!! wawe na akili kuliko mwamba MUAJEMI au IRAN ya leo. anaesimamia show kuwakikisha kila zayuni akitoa pua juu wanarudi chini uko uko watafutane na panya buku,,, Afu MUAJEMI kwake shwariiiiiiiiiiiii
 
Point moja ni ya kitaalamu vita vyovyote bila ground force hushindi hili halina ubishi, sasa Israel wanayo hawana hiyo topic nyingine. Nakumbuka ile vita ya kukomboa Kuwait kutoka kwa Iraq walishusha ground force ya kufa mtu ndio wakaichukuwa Iraq ila wangesema kupigana tu angani nadhani miaka ingepita vita bado. angani unadhoofisha tu ila bila kuichukuwa ardhi bure tu ndio maana hata Somalia ikawa ngumu.
 
hajawafahamu bado, hata boss wake Hassan Nasraah alikuwa na kiburi zaidi yake, lakini sasaivi keshaoza.
 
Always The reported numbers refer to those "corpses found, identified and counted or gathered " . So the figure may increase at any time depending on the Incoming reports from the field.
 
Ukiwasikiliza Hezbollah wa JF utafikiri Israel kunawaka moto.
 
Ali
kuambia wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…