Na wanajivunia sana .Mzee Mwanakijiji pascal mayala wanalijua vzr hili
Think out of the box, ni jeshi kama taasisi ndiyo limefungwa kisheria kutojihusisha na siasa, mwanajeshi kama raia hajafungwa kisheria kuacha jeshi ili kujihusisha na siasa. Kwa hiyo kwa huyo mteule anaweza kuamua aidha kukataa uteuzi huo na kuendelea na jeshi au akubali uteuzi na kuamua kuacha jeshi iwapo alikuwa bado anaendelea na kazi jeshini.Tumia akili, jeshi limefungwa kisheria lkn lowassa hajafungwa kisheria. Huu ndio tunaoita kwa kingereza GRAFT CORRUPTION. Taasisi inahongwa ili itoe upendeleo.
Mmh!,, kunashaka !Sio lazima awe alikuwa mwanachama.Aweza kuwa kaanza jana hiyo hiyo kila kitu kina tarehe ya kuanza
Kwani Lowassa alikuwa mwanajeshi wkt anahamia Chadema.....?issue apa ni mwanajeshi kuteuliwa kuwa kiongozi wa chama cha siasa.
Unaleta ushabiki wakati hata haujui chochote,unajua kabla ya hapo ashashika wazifa gani wa kisiasa?
Kipi kinaanza kuacha na kuingia kwenye siasa au kuingia kwenye siasa na baadae ndio unaacha? Ukweli unabaki pale pale kuwa vyombo vyetu vya usalama si huru a kwani ndani yake kuna wanachama wa vyama vya siasa na hivyo hutumika kutimiza matakwa ya chama ya chama kwa hope kuwa Siku moja watapewa nyadhifa mbali mbali wakiwa kazini au baada ya kustafu.Think out of the box, ni jeshi kama taasisi ndiyo limefungwa kisheria kutojihusisha na siasa, mwanajeshi kama raia hajafungwa kisheria kuacha jeshi ili kujihusisha na siasa. Kwa hiyo kwa huyo mteule anaweza kuamua aidha kukataa uteuzi huo na kuendelea na jeshi au akubali uteuzi na kuamua kuacha jeshi iwapo alikuwa bado anaendelea na kazi jeshini.
Kwa haraka na uhakika nchi inageuzwa kuwa ya kidikteta. Na ukiona hivyo ujue wanatafutwa akina Goring, Himmler na Joseph Goebbels. Ee Mungu tuhurumie Watanzania tumekukosea nin!!!!!!!Sawa lkn hii ni picha kuwa wakati alipokua jeshini alikua ni mwanachama wa ccm. Haiwezekani kuwa wamemchukua MTU wasiomjua. Ndio maana tunasema vyombo vyetu vya usalama sio huruma na haviko tayari kuona ccm ikishindwa ndio maana hutumia mbinu yote hata za wizi kuleta ushindi kwa ccm
Yani kweli kuna watu wanabahati zao,mtu yupo katika ajira ya serikalini anaachishwa na kuletwa kwenye chama, dah vyeti vyangu ngoja viliwe na panya tu
uanajeshi" hii ni nomination tu ambayo mtu yeyote yule leo rais ama yeyote mwenye mamlaka anaweza kumpatia raia? ama ni lazima upitie mchakato flani ktk hao wenye mamlaka ndiyo uwe mwanajeshi. Hivyo basi naamini huwezi kukoma uanajeshi wako eti tu kwa kuacha kuvaa gwanda za kijeshi ama kutimiza majukumu ya kijeshi kwa wakati huo.Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Nchi ngumu sana hii kaka!!Yani kweli kuna watu wanabahati zao,mtu yupo katika ajira ya serikalini anaachishwa na kuletwa kwenye chama, dah vyeti vyangu ngoja viliwe na panya tu
Suala siyo kumshitaki, suala hapa ni uzumbukuku wako usiotaka kuuona ukweli. Jeshi la Wananchi wa Tanzania haliwezi kuchezewa kwa namna linavyoanza kuchezewa na viongozi muflisi wa Chama cha Mapinduzi. Ni lini askari huyu alistaafu na kuchukua kadi ya ccm?Kamshtaki basi kama imekuuma
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.
Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.
Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.
Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-
SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI
Ibara ya 147.
Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
----------