Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Na Kumsusia kabisa hadi na Mtoto Shadia.Kitambo tu hadi kakimbiwa na mmoja ya wake zake
Wawili Mmoja alikuwa Bungeni ( ana Mguu mbovu kidogo ) na mwingine yuko UN ila ayafanyayo Marekani na UAE akienda naomba niyasitiri Kwanza ila asipobadilika tunaomjua Kindakindaki tutaweka sasa Mambo yote hadharani. Ajiulize tu kwanini Yeye na si wengine? Ajitathmini!!!Ana wake wangapi
WanaSimba wote popote mlipo, mtandao wowote wa Kijamii unaotumia mfikishie Ujumbe kwamba aache Kiherehere, aachane na Stori za Simba na kama Yanga inamuuma sana aende akachukue Nafasi ya Bumbuli. Huyu Kenge siyo wa kufumbiwa macho, tunapaswa kumdhibiti kwa namna yoyote kwa nguvu zote na gharama zozote, Yupo kwenye payroll ya GSM halafu anabana pua oooooh blah blaah.
Comred Manara pambana tupo sambamba mpaka kieleweke na huyu pi-mbi tutamuandama mpaka ajione kunguni tu
Comment ziwee fupi fupii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]samahan mkuu hilo mwamba ndio jina lake au unampa sifa tu mwambie.kitenge aandike habar zenye uhakika.co ajiandikie tu kwa hiyo kila cku wachezaji wa simba wanapigana na kugombana na makocha alinza kagere kisha boko leo.....
Angalia na tega Sikio kuanzia Kesho akiwa katika Vipindi vyake kama ataendelea kuwa Mpuuzi na Mzushi tena kwani kuna alichoandaliwa Kabambe cha kumtia Adabu na hatokaa Kuamini kwani kitakuwa ni cha Kumtesa zaidi Kisaikolojia na kinaweza hata Kuhatarisha Utendaji wake hapo alipo sasa au Diamond akasitisha Mkataba nae kwakuwa linaweza Kuathiri hata Media yake hiyo inayokuja kwa Kasi sana na mno Nchini.Kitenge hawezi acha kuiongolea Simba hivyo...
Ni Mnafiki sana na pia ndiyo Sifa Kuu ya karibia 99.9999% ya Mashoga wote Ulimwenguni.Kuisema kwenye accounts zake aseme tu, tumuache. Ila kuisema ofisini, hapo afitinishwe na mwajiri wake. Kuna siku alimtafuta jamaa tu anajiita mwanauchumi kuja kuzungumzia suala la Simba na Tume ya Ushindani (FCC). Wachambuzi mle studio walikuwa wanasita kutumia maneno ya huyo 'mwanauchumi' kama basis ya uchambuzi, maana walimshtukia Kitenge, maana hawakujua amemtoa wapi
Hata Mimi Ndugu nimekuwa nikijiuliza sana hili Swali kwani ni Mmoja wa Members niliokuwa nikiwakubali hadi nimependa Kuiga na Style yake JF.Hivi huyu GENTAMYCINE amekula Life Ban ya kutokuonekana tena hapa JF?
Haji Manara kama akihitaji na Nondo zake zingine huyo ( huyu ) Mpuuzi tena za ndani na za Kummaliza anitafute kwani nina Moja hiyo Hatari tupu.Imagine mtu kama huyu View attachment 1719258
Ni la kuwa Juha ( Hayawani ) kama Wewe Ndugu.Mbona kosa la kitenge halitajwi!?
Mkuu huo mda tumia kukabiliana na maisha yako ya mtu mwachie mtuHaji Manara kama akihitaji na Nondo zake zingine huyo ( huyu ) Mpuuzi tena za ndani na za Kummaliza anitafute kwani nina Moja hiyo Hatari tupu.
Siku zingine kama ama hujui Jambo au huna uhakika nalo uwe Unauliza au bora ukae tu Kimya kuliko Kukurupuka na Kujichoresha hivi kwa Wanaojua. Haji Manara hajawahi kuwa na Mzozo na Wasafi FM ( hasa Kipindi chao cha Michezo ) kama ulivyozusha hapa ila aliwahi Kuingia katika Mzozo na Watangazaji wa EFM ambapo baadae Manara na Mkuu wa Kipindi cha Michezo cha EFM Ibrahim Masoud 'Maestro' na Msaidizi wake Mtangazaji wa Kike wa Michezo Tunu Hassan Shemkome Kibusara na Kibinadamu waliitana na Kuyamaliza rasmi na sasa wako vizuri wote.Manara alishawahi kuwatukana watangazaji wa wasafi, watangazaji walinung'unika sana sasa sijui manara aliomba msamaha kimya kimya lakin watangazaji hawakuongea chochote kama manara aliomba msamaha , sasa subir manara akosewe alafu aombwe msamaha kimya kimya,yani utajua tu kama aliombwa msamaha
Na taarifa ikufikie tu hapo hapo ulipo kuwa pamoja na Kumponda kote Kwako hivi basi wana Smba SC wote tunampenda na kumkubali ile mbaya.Haji Manara si professional kabisa. Ni msema hovyo.
There you are TosserUnasemaje dada mkubwa?
Basha wako?Mkuu huo mda tumia kukabiliana na maisha yako ya mtu mwachie mtu
Hii kauli imekaa kibaguzi.Assume wewe ni "mlemavu" kauli hii mtu anaitumia kwako au kwa mama yako una feel aje?Walemavu ndivyo walivyo, wako na low self esteem, ni kuwahurumia tu