MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #261
Kakae basi huko Ulaya na Marekani kwa hao Wazungu wako na tuachie Tanzania yetu pamoja na Uswahili wetu sawa?Kwani mpira siumeanzia kwa wazungu we wapi unafikiri umeanzia tandale, tumeletewa na wazungu ndugu
Hujui kitu kaka gossip na rumors zitaendelea kuwepo whether you like or not, na ndo Raha ya mpiraWakisema Watu wa Mpira wajitokeze na Punguani Mkomavu Wewe utatoka?
Na unavyokanyagwa pia huwa unasikia hiyo Raha?Hujui kitu kaka gossip na rumors zitaendelea kuwepo whether you like or not, na ndo Raha ya mpira
[emoji23][emoji23][emoji23] wee binamu huogopi waume za watu? Yaan mie nikiona mume wa mtu, hadi napatwa na baridi nikiwaza fumanizi tyuuh.Ila raha ya ndoa iwe na Uke wenza full kupeana challenge[emoji23], bi mkubwa akinunuliwa prado , bi mdogo wataka Range Rover , sitaki mie warumi
Ila binamu hakuna mwanaume mtamu duniani kama mume wa mtu , wana ka utam flan hiv special na wanajua kuhonga balaa[emoji23]
Imeisha hiyooooooohKwa hyo mau na zeruzeru wanaliwa mitaro ?
Hata wewe?Hao wote wanaliwa, tatizo ni kuwa kuna m1 hapo kaiba bwana wa mwenzie, hili bifu ni la mda mrefu, sema hawakupata nafasi ya kuonesha bifu lao.
Waleleeeeeeeeeeeeeeh mji mzito huu. Uwiiiiiiiiih
Hata mie nini?Hata wewe?
Aah nimejichanganya sorry nikajua wee ndio mleta mada mjukuu[emoji16][emoji16][emoji16]Hata mie nini?
Kofia za mama Rwakatare.View attachment 1719211
Huu umbea wa Balgeen Abdul na sakata la hirizi hapa Manara ndo kanidindisha masikio, masikio yamesimama utafikiri zile kofia za Mama Rwakatare[emoji23][emoji23], ila kaniudhi mxieew badala yakutupatia umbea full anatupatia nusu nusu, ananipa assignment nzito wakati Warumi mie siku hizi nimeokoka
Subhuhanallah !!!!Imeisha hiyoooooooh
Asikutishe huyo mbwiga tuNichafue nikuchafue!!
Tuliza kishundu weweManara usipende kugombana waandishi wa habari kila wakati mara Prisca anaihujumu simba nara Dauda anaihujumu simba mara Kitenge una natatizo fani unapenda kumrukia kila mtu Mwakalebela alipowakilisha ujumbe wake kwa Tff kutoka kujitoa mara ukarukia kumjibu Mwakalebela as if wewe ndio msemaji wa Tff hivi hukumbuki ulipojifanya msemaji wa familia ya Mo pale alipotekwa nini kilikupata lazima ujitafakari huwezi kudanganya watu kwamba wewe ndio mkereketwa wa simba kushinda wote nakuhakikisha vita na Kitenge unajisumbua utashindwa na kuabika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo ile nayo ni ID yako?Aah nimejichanganya sorry nikajua wee ndio mleta mada mjukuu[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha bhanaaaahSubhuhanallah !!!!
Ungekuwa mfuatiliaji wa michezo wala usingeshangaa alichofanya Manara kwahiyo si lazima kuwe na motivation behind! Kwanza, Kitenge ana ule uandishi wa uchokonozi. Ingawaje watu wanamtuhumu u-Yanga lakini sie wafuatiliaji tunafahamu ndo staili yake! Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kitenge aliwahi kushmbuliwa kwa maneno makali live (on air) ama na Mzee Mwanamkatwe au Ndolanga; sikumbuki vizuri!! Sasa tatizo la Manara anajifanya yeye ndo ana uchungu sana na Simba kuliko Dewji aliyeweka pesa yake matokeo yake, akiona watu wanaisema "vibaya" Simba lazima awashambulishie hata kama kinachosemwa ni cha kweli! Sasa kwavile Kitenge ana uandishi wa uchokonozi, na ukichanganya kwamba yeye ni Yanga basi ndo ndo hapo Manara anapokuwa kama Mwajuma Ndala Ndefu! Kuna siku aliwashambulia LIVE Watangazaji wa Wasafi hadi Kawambwa aka-mind vibaya sana baada ya kuwaita wapumbavu! Thanks to Edo Kumwembe akatuliza hali.Hawa wamechukuliana mabwana sio bure
Huu Uzi umetuonesha jambo moja zito , kuwa Manara na Maulidi wote ni mabwabwa , hayo mengine unatutoa kwenye UhalisiaUngekuwa mfuatiliaji wa michezo wala usingeshangaa alichofanya Manara kwahiyo si lazima kuwe na motivation behind! Kwanza, Kitenge ana ule uandishi wa uchokonozi. Ingawaje watu wanamtuhumu u-Yanga lakini sie wafuatiliaji tunafahamu ndo staili yake! Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kitenge aliwahi kushmbuliwa kwa maneno makali live (on air) ama na Mzee Mwanamkatwe au Ndolanga; sikumbuki vizuri!! Sasa tatizo la Manara anajifanya yeye ndo ana uchungu sana na Simba kuliko Dewji aliyeweka pesa yake matokeo yake, akiona watu wanaisema "vibaya" Simba lazima awashambulishie hata kama kinachosemwa ni cha kweli! Sasa kwavile Kitenge ana uandishi wa uchokonozi, na ukichanganya kwamba yeye ni Yanga basi ndo ndo hapo Manara anapokuwa kama Mwajuma Ndala Ndefu! Kuna siku aliwashambulia LIVE Watangazaji wa Wasafi hadi Kawambwa aka-mind vibaya sana baada ya kuwaita wapumbavu! Thanks to Edo Kumwembe akatuliza hali.
Tatizo lingine la Manara ndo ile kujifanya yupo karibu sana na matajiri ndo maana akianza kushambulia waandishi wa Wasafi, lazima amwinginze Diamond.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewee lolHuu Uzi umetuonesha jambo moja zito , kuwa Manara na Maulidi wote ni mabwabwa , hayo mengine unatutoa kwenye Uhalisia
Ni uamuzi wako, nami wa kwangu lakini binafsi siwezi kuishi kwa gossips!Huu Uzi umetuonesha jambo moja zito , kuwa Manara na Maulidi wote ni mabwabwa , hayo mengine unatutoa kwenye Uhalisia