Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Haji ni mropokaji mambo ya kufatilia maisha ya watu sasa hizo hirizi zina husuka nini na kinacho ongelewa
 
uzuri ni kwamba wote ni wa aina moja,mmjoa aliwa na wazungu mwingine aliwa na waarabu yani ni kama vile B kuliwa Dar na boss mfupi na ndugu mashavu mbonyeo kuliwa Mombasa na mtawala kwa hiyo wasitupotezee muda.
 
Mwaga ubuyu kaka
 
Wote tunajua kusoma na wewe. Usituchoshe!
 
Nikichogundua wewe mwenyewe mpiga zumari tuu.. Usimba umekujaa.. Unamuongelea Katanga ommy wa ufm ambaye kipindi kizima na Watu wake wanachambua habari za simba tuu.. Au unafikiri wapenda Michezo hatujui radio zenye watangazaji wanaz wa simba hata wanashindwa kujizuia mahaba yao!!
 
Alafu hata mleta Uzi anaonekana ni mshabiki maandazi wa vijiwe majungu vya kahawa.. Kaandika hisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…