Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Manara alishawahi kuwatukana watangazaji wa wasafi, watangazaji walinung'unika sana sasa sijui manara aliomba msamaha kimya kimya lakin watangazaji hawakuongea chochote kama manara aliomba msamaha , sasa subir manara akosewe alafu aombwe msamaha kimya kimya,yani utajua tu kama aliombwa msamaha
 
How Simba is big
 
Mi nimevutiwa na huyo Boss wa USA, maana maulid nae katisha, alivyokua EFM nikasema labda safar za kikaz , alivyohamia wasafi ndo safar zikazid kuchanja mbuga, nikasema hapa kuna namna, hizi safar sio za bure
Jamaa kwa miaka hii katisha,utmuona yko Egoli leo baadaye yuko Seattle ,mara Los Angels mara atapost yuko na Rose Chitala mara ooh yuko kwenye mwewe.
 
Manara kuna kipindi ali muattack shaffih Dauda alafu issue yenyewe ilikuwa ya kawaida,jamaa ana mihemko na Simba yake kwani kosa lake si kuliona.
Shida ya manara kwakuwa ameshawasoma akili za mashabiki wa simba, ndiohutumia udhaifu huo, kuwa fariji, kitenge ameelezea mzozo, wa morison na timu, ya simba, tena kuna mtandao wa kijamii, ndio source ya habari hiyo, kosa lake ni nini?hadi uanze kumtack yeye kama yeye!!ila manara akigeuziwa kibao ataanza kuomba huruma za watu kutokana na hali yake!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…