cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniiiIkawa full kuvurugwa, alafu kanakuja kale ka msemo ka faraja, kama nilipata hizi ntapata zingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniiiIkawa full kuvurugwa, alafu kanakuja kale ka msemo ka faraja, kama nilipata hizi ntapata zingine
BAr na ki hotels zingefungwaThe best way to stop smoking is to not start at all.
Pesa za starehe zinatakiwa kuwa katika bajeti yake, na kama huwezi kuimudu, unatakiwa kuwa na mazingira ya kumali,a starehe kibao nyumbani bika gharama kubwa.
Hata kununua nyama ukachoma nyumbani huku unasikiliza muziki ukala na familia ni starehe kubwa tu.
Ukishindwa hata kufanya mazoezi ya kukimbia au kutembea ni starehe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniii
Da nimecheka sanaKuna mjamaa wangu akisema bia mbili tu,basi atakunywa mpaka atapanda juu ya meza na shati atavua na kutupa.
Ungetupia nawewe kisa chako...Na hiyo ndiyo sifa ya mimi kuwa usalama 😆😆😆😆😆
Tupe mkasaDunia ni mapito
Nani kaiona kesho lileee! Kamaliza kesho lilee! Ni majaliwa yake Mungu eee kuiona kesho x2 na macamera ya videooo mazishini ee ni majaliwa yake Mungu oo kuiona kesho.2007 huko.
Na wanangu tumekula gambe then ile kuamka asubuhi hata hela ya kunywa supu hatuna.
Ila usiku tulikua na kauli yetu " nani kaiona kesho" kuna wimbo unahiko kibwagizo ila sisi mpaka leo ndio kauli yetu ya kujitia moyo tukiwa tumeshatumia hela vibaya.
HatariiiiDah so poa coc
DuhMiaka hiyo zimeingia Tv flat screen nikasogea Kinondoni Kulikua na duka wanauza vifaa vya mtumba. Jamaa wanataka laki 4 mi nina laki 5 mfukoni baadae nikaona nizuge naondoka labda wataniita wapi 😆 nikaona nisogee Masai (Meridian), nipate hata bia 2 afu nirudi niichukue bhana aisee nilistukia nimefika bia ya 5 nikaanza kuwapigia washkaji nao wakaja na wenzao tukawa kama 6 hapo naitwa tajiri. Afu mapacha wa3 kina chokoraa wananirusha tulikula gambe kuja kustuka asbh nimebaki na 20k niliumia sana baadae nikasema Mara moja moja sio mbaya.
kaburi tuta
Matukio matatu kwa mpigo...Maisha ni haya haya, tunaishi mara moja, mara moja moja sio mbaya.
Yaani hapo natoa kauli hizo ujue nimebaki na buku tu la nauli 😂😂 afu najutia kinoma na natamani niondoke eneo hilo haraka iwezekanavyo...Matukio matatu kwa mpigo...
Simulia hata moja.