Mshabiki mwezangu wa soka, unamzungumziaje Clotous Chota Chama?

Mshabiki mwezangu wa soka, unamzungumziaje Clotous Chota Chama?

"Cla Cho Cha" wenyewe humuita Triple C. Ni miongoni mwa wachezaji ambao unaweza kuwatizama huku ukitupatupa popcorn mdomoni au kijikombe cha Kahawa.

Anakupa maana kamili ya kiungo chakushambulia. Anakupa anautaka, anakupa tena anaufuata, akiwa nao anaamua kukaa nao au kutafuta mwenye nafasi, na kunawakati anaingia nao chumbani na kutokea nao sebleni. Chama ni ukwaju sana.

Nawaza tu siku wanacheza Haruna na Cla Cho Cha pale kiungoni....... Sijui patakuwaje pale kiungoni na kwa wale wa juu kule shambulioni.
Chama ni fundi wa mpira...itoshe kusema hivyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20181026_140750.jpeg
 
Mi huwa muda wote nawaombea Triple C na HD wasiwe wanapata majeraha. Hapo chini kuwe na Cotei na Mkude, hapo kichuya akasome kwanza. Wote wa ball control miguuni, wanajua kudrible Ku assist na kufunga.
Hapo namkumbuka iniesta fundi akiwa na miaka 12 aliulizwa kazi ya kiungo ni nini?
Akajibu mapoja na kufunga pia kuichezesha timu.
 
Chama signed fee $50,000 kwenda Ittihad ya Misri..hata Chirwa kuja Yanga alilipwa $100,000 alafu katimu hako Ittihad toka 2006 hakijacheza CAF Championship ndio mambo ya Himid Mao na Petrol jet...Huyo Chama hata Genk ya Samatta hawezi kucheza ndio itakuwa Barca???
 
Itihad Alexandria sio katimu ni timu ya tatu kwa ukubwa Egypt baada ya National Al ahly na Zamalek.Usimlinganishe Chirwa na Chama. Chama yupo kwenye first eleven ya mojawapo ya timu bora za Afrika. Chipolopolo.
Ni bonge la mchezaji na nadiriki kusema kwenye viungo wote hapa Tanzania kwenye ligi hakuna wa quality yake.Mimi namjua tokea Egypt. Kama huamini subiri utaona shughuli yake
 
Itihad Alexandria sio katimu ni timu ya tatu kwa ukubwa Egypt baada ya National Al ahly na Zamalek.Usimlinganishe Chirwa na Chama. Chama yupo kwenye first eleven ya mojawapo ya timu bora za Afrika. Chipolopolo.
Ni bonge la mchezaji na nadiriki kusema kwenye viungo wote hapa Tanzania kwenye ligi hakuna wa quality yake.Mimi namjua tokea Egypt. Kama huamini subiri utaona shughuli yake
Timu kubwa Misri ni Al Ahly,Zamalek na Ismailia...hiyo Ittihad hata premier league ya Misri haijawahi kuchukua...kuhusu Chipolopolo labda hawana watu wa maana ndio anapata namba ..AFCON za mwisho Zambia hawakwenda wachezaji wao wa 2012 wamezeeka
 
Unahitaji msaada. Ngoja nikupe listi ya Chipolopolo.
Goalkeepers Kennedy Mweene-Mamelodi Sundows -South Africa
Toaster Nsabata-Zanaco
Defenders
Solomon Sakala,Fackson Kapumbu -Tesco
Isaac Shamujomba ,Lawrence Chungu-Buildcon
Stopilla Sunzu Fc Metz-France
Kabasi Chongo-TPMazembe
Midfielders
Sinkala-TP Mazembe
Salutani Phiri-Polokwane City-South Africa
Enock Mwepu-RB Salzburg Austria
Lubambo Musonda-Gandazar Armenia
Clatous Chama-Simba Tanzania
Forwards
Mulenga,Justin Shonga-Orlando Pirates -South Africa
Pärson Daka-RB Salzburg-Austria
Fashion Sakala-Öostade Belgium
Ukiwa mojawapo wa wachezaji katika timu kama hii ni lazima uwe mchezaji mzuri.
 
Back
Top Bottom