RealRespect
Member
- Sep 4, 2022
- 15
- 18
Hapana jamaa yangu. Zingatia matumizi yasizidi kipato.Maisha haya kumbe mshahara wangu wa mwezi ni kodi kabisa dah sawa mkuu ngoja tupambane tu na hizi stress[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana jamaa yangu. Zingatia matumizi yasizidi kipato.Maisha haya kumbe mshahara wangu wa mwezi ni kodi kabisa dah sawa mkuu ngoja tupambane tu na hizi stress[emoji23]
Hapana jamaa yangu. Matumizi yasizidi kipatoMaisha haya kumbe mshahara wangu wa mwezi ni kodi kabisa dah sawa mkuu ngoja tupambane tu na hizi stress[emoji23]
Kwakweli umemjibu vizuri! Watanzania walio wengi hawana ajira! Nenda kariakoo, mbagala, mbezi mwisho huoni nyomi ya watu wakihustle kujitafutia liziki! Watu hao atleast kati ya haya wanasupport familia kubwa, wanaendesha magari, wamejenga, wanahesh8mika mitaani, n.k. Kwahiyo akili kichwani!Wenzio hata mshahara hatuna, kibarua hatuna, maisha yanaenda vizuri tu.
Hii ndio Bongo, changamsha akili.
Ni mbinumbinu tu, tukiongozwa na viongozi wa serikali ambao ndio wataalamu wa mbinu zaidiKwakweli umemjibu vizuri! Watanzania walio wengi hawana ajira! Nenda kariakoo, mbagala, mbezi mwisho huoni nyomi ya watu wakihustle kujitafutia liziki! Watu hao atleast kati ya haya wanasupport familia kubwa, wanaendesha magari, wamejenga, wanahesh8mika mitaani, n.k. Kwahiyo akili kichwani!
Sasa hii si ndio package ya mwisho kabla ya ile ya 35!! Ni sawa na kulipa package ya dstv ya 192000. Ni anasa kwa kuwa dstv haohao wana package ya Tshs. 9000 kwa mweziukipost changamoto unayopitia kama ivi unakuja gundua kuwa haupo mwenyewe kwa ground unateseka, watu wanateseka aiseee, imagine azamtv ya 23,000 ni anasa inaonekana.