Mshahara kiasi gani unatosha kwa baba wa familia ya watoto watatu?

Mshahara kiasi gani unatosha kwa baba wa familia ya watoto watatu?

Nimepanga nalipa kodi 300,000 kwa mwezi, ada za watoto jumla kuu ni 8,000,000 tsh kwa mwaka
Kwahiyo wewe ni mwizi? Au hiyo tofauti hapo unaifidiaje?

1,000,000 × 12 = 12,000,000
300,000 × 12 = 3,600,000

8,000,000 + 3,600,000 = 11,600,000

67% ya take home ni ADA tu? Kuna tatizo sehemu!

Matumizi mengine yoote yaliyobaki baada ya ADA na KODI, yanaangukia kwenye 400,000 kwa miezi 12?

Kama hivyo ndivyo, bado uko sehemu sahihi, endelea kutenda miujiza!
 
Nimepanga nalipa kodi 300,000 kwa mwezi, ada za watoto jumla kuu ni 8,000,000 tsh kwa mwaka
Mkuu hapa kwenye nyumba na ada ndipo pa kupafanyia kazi

Jitahidi utafute nyumba yenye kodi isiyozudi laki 2

Kuhusu shule najua hapa utanipinga lkn hao watoto wapeleke st.kayumba tu, huko english medium hutatoboa kumbuka huyu mwingine nae soon ataanza kupanda ma bus ya njano
 
Kwahiyo wewe ni mwizi? Au hiyo tofauti hapo unaifidiaje?

1,000,000 × 12 = 12,000,000
300,000 × 12 = 3,600,000

8,000,000 + 3,600,000 = 11,600,000

67% ya take home ni ADA tu? Kuna tatizo sehemu!

Matumizi mengine yoote yaliyobaki baada ya ADA na KODI, yanaangukia kwenye 400,000 kwa miezi 12?

Kama hivyo ndivyo, bado uko sehemu sahihi, endelea kutenda miujiza!
Nimecheka sana mkuu. Jamaa anatenda miujiza au huenda analipwa mshahara mkubwa pasipo yeye mwenyewe kujua.
 
Nimepanga nalipa kodi 300,000 kwa mwezi, ada za watoto jumla kuu ni 8,000,000 tsh kwa mwaka
Ndugu nimejaribu kuangalia nyuzi zako za nyuma kwa kweli unahitaji maombi sana

umekuja kutuchezea akili tu hapa
Screenshot_20230612-115432.png
Screenshot_20230612-115527.png
Screenshot_20230612-115557.png
 
Nimecheka sana mkuu. Jamaa anatenda miujiza au huenda analipwa mshahara mkubwa pasipo yeye mwenyewe kujua.
Hapo JF ndipo inaposhangaza,anakuja kutaka mawazo alafu anakuja na uongo ukusaidie nini sasa? Yaani matumizi yote ya mwaka mzima yanazidi kipato anachokipata kwa mwaka
 
Nimepanga nalipa kodi 300,000 kwa mwezi, ada za watoto jumla kuu ni 8,000,000 tsh kwa mwaka
kwa maisha ya arusha embu jitahidi mkeo apate cha kufanya mfano jenga mabanda simpo fatilia makala za ufugaji mtandaoni aanze kufanya ufugaji ata wa bata na wewe badala ya kupitia baa kunywa bia rudi nyumbani msaidie mkeo kwenye huo mradi chochote utachofanya fanya kwa ukubwa ndo utapata matokeo positive.
 
Hesabu imejaa uwongo,haina uhalisia.

Umesema baada ya kununua kila kitu akaweka ndani atakuwa ametumia 200k,alafu awe anaacha hela ya mboga na nauli za watoto kila siku elfu 10. Hiyo 10k peke yake Mara mwezi ni laki 3. Jumlisha na hiyo laki mbili,inakuwa laki 5. Katika hesabu yako ya laki 6 inabaki laki moja.

Hapo sijajumlisha hesabu zingine ulizoandika hapo,maji,umeme,nauli,Kodi 50k na bla bla zingine.

Rudi edit,Kisha mshauri tena.
Sioni tatizo hapo ,maana anaweza kutumia kama overview muhusika atajipangia mwenyewe binafsi nimeilewa na nimetumia kwa baadhi ya mambo ila sasa nitafanya na zaidi kutokea humu kwa mfano sijawahi weka pocket money kwa wife matumizi yake binafsi huwa nasubiri mpaka aniombe ,sijawahi fikiria kumpa ki mradi chake pendwa, then kwangu ni mpango poa nitauboresha tu
 
Sioni tatizo hapo ,maana anaweza kutumia kama overview muhusika atajipangia mwenyewe binafsi nimeilewa na nimetumia kwa baadhi ya mambo ila sasa nitafanya na zaidi kutokea humu kwa mfano sijawahi weka pocket money kwa wife matumizi yake binafsi huwa nasubiri mpaka aniombe ,sijawahi fikiria kumpa ki mradi chake pendwa, then kwangu ni mpango poa nitauboresha tu
mkuu umenena vema sana mimi mwenyewe mke huwa nampa pesa on demand, akitaka kununua kitu nampa pesa, akihitaji pesa kwajili ya ishu flani nampa, na sio kwamba kuna fixed budget ambayo nimetenga eti nampa tu bila sababu
 
Sema pia nina mtindo wa kumpa pesa zote ambazo najua ni budget za lazma. kama pesa za usafiri watoto kwenda shule, bili ya maziwa, bili za internet n.k huwa nampa zote ili ajisikie vizuri kuwa ameshika hela ila in real sense pesa anazoshika zote najua zitaishia kwenye budgets za lazima za nyumbani, so mkme wangu ni kama muhasibu flani wa nyumbani
 
Hapo JF ndipo inaposhangaza,anakuja kutaka mawazo alafu anakuja na uongo ukusaidie nini sasa? Yaani matumizi yote ya mwaka mzima yanazidi kipato anachokipata kwa mwaka
ur very right brother, matumizi yangu ya mwaka yanazidi kipato changu, kwahyo bili kubwa kama za ada inabidi niparangane kweli kweli kuzilipa kwa kutafuta madili tofauti na hapo ni msala
 
ur very right brother, matumizi yangu ya mwaka yanazidi kipato changu, kwahyo bili kubwa kama za ada inabidi niparangane kweli kweli kuzilipa kwa kutafuta madili tofauti na hapo ni msala
Angalia ada yako kule juu ujakosea Ni 8M au 800K
 
vijana inaonekana mnaogopa sana kuwahi kuzaa mkifikiri kwamba ukichelewa kuna afadhali ya kiuchumi . Ukichelewa madhara ni mengi sana, unakuta baba ana miaka 50 mtoto ana miaka 10, ni bora kuwahi uzoee kukimbizana na hizi budgets kabla ya uzee.
Mtani wangu wa mwakaleli kwanza nikwambie tu kuanza kufikilia namna ya kutunza familia kwa kutegemea scale ya mshahara that is a big loss,ungezungumzia income kwa ujumla afadhali ningekuelewa kwa maana ungekuwa umejumuisha mshahara na mipango mingine ya kiuchumi.

Watu wanachelewa kuzaa ili kukimbiza kwanza mipango ya kando ya kiuchumi ikae sawa ambayo ni ngumu sana kuifanya ukiwa na kipato kidogo na una mke na watoto ndani ile dhana kuu ya kujisacrifice haiwezekeni ukiwa na wategemezi kama hao ndani.
 
Kwa hali ilivyo sasa sishauri mtu kuzaa hovyo bila kupiga hesabu za gharama za maisha ni hatari sana.
 
Wa
HAPO HUJATOA SOLUTION MKUU, KAMA HUNA CHA KUSEMA KAA KIMYA

Mke wangu ni mama wa nyumbani
Wadau wameshauri hapo, mkeo afunguliwe banda afuge kuku au la bata kuongeza kipato, huoni kama hiyo ni solution? Au unataka mpaka aitoe To yeye
 
Angalia ada yako kule juu ujakosea Ni 8M au 800K
Nafikiri amekosea aisee, itakua alimaanisha laki 8. Maana hata Chuo Kikuu kozi ya Milioni 2 kwa watoto 3 ingekua milioni 6 kwa mwaka, sasa huyu anaongelea habari za school bus, ni lazima watoto wapo primary. Hapo ada ni laki 8!!
 
Back
Top Bottom