Mshahara laki 8 ili upate maendeleo inatakiwa watoto wasome shule za serikali. Tazama huyu baba anavyoteseka

100% Fact
 
Fact
 
100% Fact
 
kama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule

View attachment 3239070
Watu wangu waangamia kwa kukosa maarifa:Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa,Mimi NAMI nitakukataa Wewe,usiwe kuhani kwangu Mimi;Kwa kuwa umeisahau Sheria ya Mungu wako,Mimi NAMI nitawasahau watoto wako(Hosea 4:6).
 
Mambo madogo hayo kwa tuliosoma kayumba tunaelewa, muhimu ufahamu wa mtoto kama ana ufahamu vizuri mtoto wako wtamzidi huyo wa english medium
Fact. Halafu kwanza watoto wakiwa wengi ndio Wana enjoy. Watoto shuleni wanaenda kucheza na kufurahia utoto wao zaidi kuliko kusoma.
 
kama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule

View attachment 3239070
Hata ww Elimu ya maisha huna unasemea laki 8 au elfu nane watu wanalipwa laki 3 Wana nyumba na watoto wapo medium jichunguze kwanza Kuna watu wanapata MILION 5 na mwingine MILION Moja halafu wa MILION Moja kiuchumi alivyojiwekeza yupo juu sana kenga tabia ya kujiwekeza kwanza sio MSHAHARA mkubwa Nina visa 102 nipo tiyari kuku shushia
 
Fact
 
Ushauri mzuri Sana hakika
 
Mbona mimi mshaahara laki 5 na mtoto namlipia milion mbili ada bila mkopo. Maisha nikujipanga laki 8 kubwa sana kwa mwaka ni milion 9

Milion 7 tumia milion mbili somesha unashindwa nini?
 
Mimi anasoma ada 2.1M na mwingine 1.2M. Sio kila mtu amepanga nyumba, wengine ni wenye nyumba, tunachukua kodi, na mshahara no kama huo
Hakuna mwenye nyumba anaeitwa " Lupweko"
 
Fact
 
Kwa kila mwezi nilikuwa naweka 50000 katika acount ya mtoto kumbe nilikuwa nachelewa nikaenda likizo nikamkuta ndugu yangu anauza miti ya miaka 5 anapewa MILION 5 mara Eka 5 =25 Milioni ikabidi nifuatitilie ile michakato nikatoa pesa niliyokuwa na save nikachukua Eka 3 nikapanda mpaka sasa nakuwa naongeza vieka vya miti kidogo kidogo zenyew Zina Fanya saving nzuri sana ya pesa na return yake ni nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…