Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Mbona 20,000 hela ya kawaida sana, Dr mzuri mfano clinic Dr mashavu ama mzee wetu mgaya anachukua hadi 35,000 na kunakuwa na foleni ya kufa mtu, Kibongo bongo madokta wanahudumia watu wengi sana wanazidi 50.

Ndio maana Ma Dr wengi wanakuwa wanachepuka Hospitali Binafsi sababu kule dr anapata percentage fulani kwenye Hela anayoingizia Hospitali.
Umeelewa nilichokiandika?

Rudia tena .."Basi hapo patakua na mzunguko mkubwa sana, na either we ni specialist au Hosp kubwa ambapo both scenarios utakua unalipwa pakubwa sio sawa na ma MD wa local government."
 
Madaktari ni wa kuheshimu sana jmn ile kazi sio rahisi ni ya kujitoa mno.Pia inahitaji moyo maana kushuhudia watu wakifa almost every day inahitaji moyo
Kweli aisee kushuhudia watu wanakufa kila siku inabidi waongezewe mshahara
 
TANESCO wanazalisha Megawatt za umeme wanatuizia kwa unit. Kwann wasilipane pesa nyingi. ATCL wanafanya biashara ya usafiri wa anga kwanini wasilipane fedha nyingi. Walimu na Madaktari hawawezi kulipwa fedha nyingi kwasababu they are not producing kama hao wengine. Watulie walipwe malipo yao ya wito.
Wabunge mshahara mnono na marupurupu kibao. Pale bungeni wanazalisha nn? Mvinyo ama?
 
Madaktari ni wa kuheshimu sana jmn ile kazi sio rahisi ni ya kujitoa mno.Pia inahitaji moyo maana kushuhudia watu wakifa almost every day inahitaji moyo
Wanaoshuhudia hayo ni Manesi na sio Madaktari kwa kiasi kikubwa
 
MD aliyemaliza miaka mitano plus mmoja wa internship hamzidi polisi div 4 au ziro aliyekwenda CCP miezi 9.
Kumbuka MD alipitia form 5/6 baada ya kupasua fomfoo.
Fomfoo
 
Mkuu nilikuwa najua unaakili kumbe zero brain!?
Ushaona wapi kampuni inatanganza hasara kila mwaka ya mabilioni lakini
wafanya kazi wake wanaongoza kwa mishahara!?
Duka lako kila siku lina pata hasara lakini mfanyakazi wako anajiipa mamilioni!?
wewe uko kwenye kundi la bureaucratic capitalist kama madelu na sio
real capitalist
Boss unaposikia hasara kwenye Kampuni haimaanishi umepata hasara at the current year

Ntakuapa mfano hiyo ATCL imeanza muda mrefu na kuna madeni ya kipindi Cha nyuma ambayo Kampuni ime accumulate hivyo tuseme atcl kapata faida kwa mwaka husika kitakachofanyika Ile faida ita offset hasara za nyuma mpaka zibaki 0 ndio wataanza kutengeneza faida unless Kuna namna ambayo inaweza kufanyika ni kuangalia namna ya kufuta hizo hasara kwenye vitabu ila taasisi unakuta inajiendesha vizuri mishahara watu wanalipwa na maisha yanaendelea
 
Katika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho?

Tulinganishe na watumishi mfano wa WCF, NSSF, PSSSF, TRA, TISS bila roho mbaya wala husda, nani anafanya kazi ambayo ara bibi yako, wewe au ndugu yako popote alipo ni muhimu? Ni kweli mfanyakazi wa hapo DAWASA., anarisk kuliko daktari? Nipo Marekani, mimi ni epidemiologist japo sikufanya medicine, dhana ya udaktari ni wito haipo, wanapesa. Wanaheshimika.

Tanzania, wanatumia dhana ya wito kuwagandamiza ili wanapotaka kukaa sawa waonekane wana tamaa, hivi mtu aliepo pale TPA, anakula kiyoyozi, anatupia mafile, halaumiwi kwa lolote, ana mkopo wenye riba wanayojiwekea wenyewe, hajawahi kuamshwa usiku wala kurukiwa na damu ya mtu mwenye ebola au ukimwi ni wa kulipwa zaidi ya daktari? Dharau.

Tuna demand makubwa sana kutoka kwa hawa majamaa lakini kiukweli tunawaonea. Hii ni shida. Ila na wao vyombo vyao vinawasaliti kwakuwa viongozi wao wanalamba asali lakini sio sawa. Nilitamani kuwa daktari ila nashukuru niliona mbali.

Ni janga Tanzania. Siasa inaleta dharau. Nikiuliza babu tale, individually amefanya nini leo au jana chenye impact kuliko mtu alietoa busha au kufanya operation, kweli? Kuna pahala hapako sawa. Na mkiendekeza siasa mtajua hamjui.
Jana nimeona mtu anapost anataka mtoa huduma ya dawa na atamlipa lak1.2,mimi ni assistant dental doctor nakula 8.5private bila makato bado siridhiki natamani niruke japo botswana..japo kuna brother mmja rafiki yangu yupo australia ananisihi sana niongeze elimu ila kila nikifikiria miaka mi5 elimu yenyewe ya kubangaiza naona jau. anadai watu wa afya wanathaminiwa mno kwenye mataifa ya wenzetu na uraia nje nje.....
Shwaaaaaaaaaaaaaaa....
 
Back
Top Bottom