Wameweka increment?Mshahara umeongezeka kiasi sio mbaya, wale wa ushauri punguzeni shobo mkashauri familia zenu majumbani kwenu ukute hata cheque namba hamna mnajikuta keyboard rich gang mafallah sana. Wacha nikanywe bia kidogo
Umeongezwa sh ngapiMshahara umeongezeka kiasi sio mbaya, wale wa ushauri punguzeni shobo mkashauri familia zenu majumbani kwenu ukute hata cheque namba hamna mnajikuta keyboard rich gang mafallah sana. Wacha nikanywe bia kidogo
Mama kaupiga mwingi sana kiukweliMshahara umeongezeka kiasi sio mbaya, wale wa ushauri punguzeni shobo mkashauri familia zenu majumbani kwenu ukute hata cheque namba hamna mnajikuta keyboard rich gang mafallah sana. Wacha nikanywe bia kidogo
Nimeona hiloWameweka increment?
80kUmeongezwa sh ngapi
Mwaka Jana uliongezewa annual increments?
Sikumbuki mkuu huwa naangalia ya mbeleni tuMwaka Jana uliongezewa annual increments?
Hakuna annual increments mwaka huu labda kama mwaka Jana haukupataSikumbuki mkuu huwa naangalia ya mbeleni tu
Mkuu sijui kama ni annual au ni nini ila mm mshahara wangu umeongezeka by 80kHakuna annual increments mwaka huu labda kama mwaka Jana haukupata
Sawa nimekusoma mkuu.Mkuu sijui kama ni annual au ni nini ila mm mshahara wangu umeongezeka by 80k
Nipe chakulaAcha njaa
Hapana mkuu mi nawasapoti sana waajiriwahatukupi nyie ndio mnaowaambiaga watumishi walime hata michicha wapunguze kutegemea salary
Nina Uncle wangu analipwa 5m lakini kaniambia hajaona ongezeko
Mkuu sio wote nadhani ni kwenye sekta yetu tuNina Uncle wangu analipwa 5m lakini kaniambia hajaona ongezeko
Mtakuwa ni wale jamaa wa upande wa pili, i.e Jambo afandeMkuu sio wote nadhani ni kwenye sekta yetu tu
Inawezekana huu mwezi ndio hire date yako. Siku hizi increments zinakwenda na hire date.Mkuu sio wote nadhani ni kwenye sekta yetu tu
😂😂Uzi pendwa sana huu! Mbona kimya sana!
Kesho uzi utatembeaUzi pendwa sana huu! Mbona kimya sana!