Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Tatizo huwa linakuwa ni nini? 2010s and 2000s hakukuwa na hizi shida?Kumbuka hata Novemba salary ilitoka Ijumaa ila wapo baadhi tena NMB wapo walikuja kupata Jumatatu😢
Wameniharibia ratiba ya kula.Ikawaje
Mwezii November nilipata ijumaa,ila mwezi huu mpaka saivii hakuna kitu tunaofanya kazi ofisii moja yeye kapata mpaka nikaanza kupata hofuKumbuka hata Novemba salary ilitoka Ijumaa ila wapo baadhi tena NMB wapo walikuja kupata Jumatatu😢
😁 Comrade, vuta subira. Jumatatu tutakuingizia. Chungu kikuu kimekaukiwa! Hivyo mgao haukwepeki.SHENZI SANA PUMBAVU SANA
😀😀😀Mimi baada ya kuwa nauliza salio kila muda CRDB SIMBAKING, Wamenitumia ujumbe kuwa wameniwekea 20 ili nisilale njaa siku ya leo. Kesho salio likiingia watachukua chao.
Bosi na wewe bado?Mtu anakaa na mshahara wetu hataki tusafiri.
Pole mkuu hii inaboa kuingiza kwa mafunguMtu anakaa na mshahara wetu hataki tusafiri.
Bado mkuu, CRDB uko vipi?Bosi na wewe bado?
Sijajua Hawa watu Wana mpango ganii na sisiMambo ni magumu mno
Naona kuna kundi la watumishi bado halijaingiziwa mshahara. Bila shaka leo wataingiza.Sijajua Hawa watu Wana mpango ganii na sisi
Unajua sana kuuchangamsha huu uzi😂Mtu anakaa na mshahara wetu hataki tusafiri.