Aeronautical
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 217
- 396
Mshahara umeingia kwenye account?Salary slip kwangu zinafunguka tu kwenye mfumo wa salary slip portal, ila huku kwenye ess sijawahi fungua ikakubali.
Nimeshajaribu mara nyingi tangu huko nyuma ila sijawahi fanikiwa.
Mkuu hapo huwezi fungua salary slip ila unachukua hiyo link una copy na kupaste kwwnye chrome unadownloadSalary slip kwangu zinafunguka tu kwenye mfumo wa salary slip portal, ila huku kwenye ess sijawahi fungua ikakubali.
Nimeshajaribu mara nyingi tangu huko nyuma ila sijawahi fanikiwa.
Mishahara bado kuna matatizo ya kiufundi mpaka jumatano .tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.Mshahara umetoka au bado?
Acha kutisha watuUkiona hujaingiziwa mshahara ujue pepmis yako haijajazwa.
Mi sasa hv nakula jagermaster na mtoto mkaleeeeeee anakula desperado sinyora
Wewe mshahara wa Marope unakuhusu nini😁Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Ukisikia paaaaaaaahAcha kutisha watu
Vipi nashangaa salary slip ya mwezi April inasoma Ila mshahara sijauona. Nawe Vipi?Huyu Jamaa mpuuzi mpuuzi
Vipi nashangaa salary slip ya mwezi April inasoma Ila mshahara sijauona. Nawe Vi
Ndio nimetumiwa Meseji sio muda hapa nazan nitaenda bank kuhakiki asubuhVipi nashangaa salary slip ya mwezi April inasoma Ila mshahara sijauona. Nawe Vipi?
Unagawana naye ama unamdai🤔Unanihusu pakubwa
Umeshapata mzigo?Wakuu