Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Hahaha nasoma halafu nafuraaahi unafikiri mazuri vile! Mishahara haitishi, hii ni sample ya watumishi wengi ambao tarehe kama ya leo huishi kwa mashaka. Serikali ifanye kitu kuinua kipato cha watumishi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…