Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Mwanangu ni kama vile viatu vimepigwa kiwi vinawekwa juani ....tusubiri tubrashiwe fundi akiona tumekauka vizuri vizuri....Au ndio tusubiri jioni?
Duh, wa Hazina au?Thanks Allah...
Nimewekewa mshahara wangu.
Ishu ni tarehe sio jumangapi mzee.Jumatatu mshahara haujawahi kutoka
Niliangalia salio vibaya. Bado aisee.Duh, wa Hazina au?
Bila bila...!11:20 ngapi huko
Halafu anakuja hapa Mwashambwa anasifia sifia usenger cjui mijitu mingine Ina ubongo wa namna Gani,,, Lenyewe linaona mambo yanaenda sawa TU.
Subiri keshoIshu ni tarehe sio jumangapi mzee.
Bado Chief!Angalieni Salio huko
Hatutafika wengineSubiri kesho
Sema nenoAngalieni Salio huko
Sasa mkuu mgomo wa Kariakoo usababishe waliopo Halmashauri ya Muleba wasilipwe.Hapa Kariakoo kimeumana, nadhani tusubiri tar 30.
Kuna mgomo usiokuwa na ukomo