Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Kapata leo asubuhi kazima na Data.
Weeee thubutuuuu... Niliangalia three times bilabilaaa kwenye jero imebaki 200 nakule kalikopo wanazidi kukata nyiee πŸ˜…

Sitaki ujinga saivi Nasubiria update hapahapaa πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…

CC Smart911
 
Huu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
 
Hua ni hivyo ila mwezi huu ni tofauti
Mm mwenyewe nimeangalia Leo asubuhi kwenye ess , ni kweli salary slip imeshatoka ingawa pesa ilikua bado kuingia kwenye account
 
Huu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
Tusamehe nkuu
Tumekosa
Tumekosa sisi
 
Tusamehe nkuu
Tumekosa
Tumekosa sisi
Watumishi wengi wale ambao hawajapitia ajira portal hawajielewi walipangiwa kazi kama wana wanapangiwa shule advance ndio hao wanatapeliwa kwenye kujaza PEPMIS hivi marekani wanafanya huu ujinga pia.
 
Yaaah Simu Huwa haikubali kupakua salary slip via ESS,, but mpaka Sasa hivi wengi wao washapata mishahara..
 
Sisi taasisi yetu kabla ya kuingia kazini tulikuwa na seminar kubwa bila kusahau TULITHIBITISHA/TULIAPA
na hata haijafika miaka 5
 
Huu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
Server inajaeje na ikijaa ina madhara gani? Ni lini hapa jf server iliwahi kujaa? Hata server ikijaa kwani ni ya mama yako kwamba utapa hasara? Punguza shobo Uzi haukuhusu kmmamae zako..
 
Jaribu ya mwisho rafiki. πŸ€£πŸ€£πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
usitupangieee wapi tudai helaa zetuuu..!!
Shida watumishi wengi hamuendi kwenye mafunzo madhara yake ndio hayo sasa mnaropoka hata yasiyofaa kuongeleka mbele ya jamii kufanya mapenzi na mke wako ni halali kwa dini zote ila huwezi kufanya hadharani watu wakiwa wanaona hivyo busara ni muhimu kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…