Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Alafu huku Jf kunawatu hamna akili ujue ilmradi mbishe tu. Wakati mwingine ni Bora kutetea watu. Watumishi hulipwa mishahara Yao tar 22 ya Kila mwezi sasa kutimiza mwezi c ni tar 22 ya mwezi ujao. Ishu hata kama wangekuwa wanalipwa tar 10 tunategemea mwezi ujao iwe tar 10 coz watakuwa wametiza siku 30Leo tarehe 22, mwisho wa mwezi si 31st
Hao ma DED na ma HRO unajua walivyo miungu watu kwa walimu? kuna mahala wanafikia kuwambia walimu wavue viatu wanapoingia maofisini mwao! watumishi wa kada za chini wanapitia mengi sana toka kwa hao mabosi wao
Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Ukimuuliza slichofanya mwezi mzima wala hawezi kukuonyesha daftari hata robo hajafika, wala hajasaisha, wanakulaga hela ya bure.Acha kulialia mtoto wa kiume. Mshahara ni matokeo baada ya kufanya kazi. Fanya kazi yako mshahara utalipwa tu.
UALIMU NI WITO.
Wewe ukinidharau mimi mwalimu kipi kinapungua kwangu!?Ndio maana walimu wanadharaulika sana
Usikose kuandamana tarehe 24/01/2024Walimu tuna hali ngumu,umuhimu wetu huonekana kipindi cha kusimamia uchaguzi wa mafisadi ya kijani
Acha upumbavu mjinga wewe. Unafikiri kuna mtu yuko serious na thread kama hii? Stupid.Alafu huku Jf kunawatu hamna akili ujue ilmradi mbishe tu. Wakati mwingine ni Bora kutetea watu. Watumishi hulipwa mishahara Yao tar 22 ya Kila mwezi sasa kutimiza mwezi c ni tar 22 ya mwezi ujao. Ishu hata kama wangekuwa wanalipwa tar 10 tunategemea mwezi ujao iwe tar 10 coz watakuwa wametiza siku 30
Akili za watu kama nyie ni ndogo Sana. Yaan ilmradi umepinga tu. Watu wanaeleza Hali Yao ila tu Kwa sababu haikuhusu na ukweli pia hauujui basi tu uonekane na wewe umechangia. Sio lazima Kila thread uchangie kama hujui uhalisia wa jamboAcha upumbavu mjinga wewe. Unafikiri kuna mtu yuko serious na thread kama hii? Stupid.
Kwani mshahara ushatoka?Tusipangiane matumizi.
Nikiamua mshahara wote nimtumie maza wangu sawa, nikiamua mshahara wote nichezee kamari ili ikiwezekana nipate double salary sawa. Nikiamua nikampe nabii sawa.
Mshahara huu nataka nichezee kamari.
Ni heri ni take risk katika kidogo ili nipate kikubwa kuliko kubaki na kidogo kisichotosheleza
Nikipoteza sawa tu ndio maisha sitakufa njaa na watoto wataishi.
Hizi slips zinatoka mapema kabla ya salary
Hii ni kweli?Hao ma DED na ma HRO unajua walivyo miungu watu kwa walimu? kuna mahala wanafikia kuwambia walimu wavue viatu wanapoingia maofisini mwao! watumishi wa kada za chini wanapitia mengi sana toka kwa hao mabosi wao