Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Hivi watumishi wa siku hizi mmepatwa na nn yaani kitu kidogo tu mnarusha mitandaoni.
Mkuu, tunaitumia sehemu hii pia kama mahali pa kupigia stori, kufikishia ujumbe nk. Kumbuka Mama alishawahi kukiri kuwa huwa anapita humu:

 
asiejua=asiyejua
nukta.Mwalimu=nukta. Mwalimu
Mleta uzi uliyemkosoa, bila shaka alikuwa Mwalimu wako!
nimekafundisha sana haka katoto karikuwa katoro kanakuja shulen na ndara shati chafu kananuka kama beberu leo et kananifundisha mwandiko kakenge haka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…