jeneralikevin
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 347
- 231
kweli?Oyeeeeeee kitu tayari uzi ufungwe
Yes kama nusu saa iliyopitakweli?
Hongera ya nini dada mtani?Hongera Mtani.
Mkuu, tunaitumia sehemu hii pia kama mahali pa kupigia stori, kufikishia ujumbe nk. Kumbuka Mama alishawahi kukiri kuwa huwa anapita humu:Hivi watumishi wa siku hizi mmepatwa na nn yaani kitu kidogo tu mnarusha mitandaoni.
nimekafundisha sana haka katoto karikuwa katoro kanakuja shulen na ndara shati chafu kananuka kama beberu leo et kananifundisha mwandiko kakenge hakaasiejua=asiyejua
nukta.Mwalimu=nukta. Mwalimu
Mleta uzi uliyemkosoa, bila shaka alikuwa Mwalimu wako!
Kwa sisi vyombo vya usalama Toka juzi tunakula NchiVipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Acha kabisa rafiki. π
Kula chuma hikoVipi jamani wa February bado au ndo nimechinjwa kisa PEPMIS? [emoji3][emoji3]
PEPMIS imefanya yakeππVipi jamani wa February bado au ndo nimechinjwa kisa PEPMIS? ππ
Tumekula kichwa mkuu.Vipi jamani wa February bado au ndo nimechinjwa kisa PEPMIS? ππ
PEPMIS imefanya yakeππView attachment 2912476
Kivumbi ichoKula chuma hiko
Bado labda kesho....Vipi Dada Kalpana muamala ushasoma au tungoje kesho?
Ahsante waziriPEPMIS imefanya yakeππView attachment 2912476
Kafanyaje?Ahsante waziri