Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mkumbuke mshahara huu wa march ndio unaenda kula Pasaka,Eid na kuwalipia watoto ada baada ya likizo hii fupi.
 
Woyooooo[emoji23][emoji23][emoji23] watumishi haya shime tukutane kwenye masinagogi yetu kwenye meza tuzungushe [emoji23]
mkale zote pasaka ikija mkakope mana mtumishi amekaa sana na hela siku 3
 
Hela si yetu, watugee bwana tusipangiane matumizi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…