UongoMarch tayari NMB
Kweli hayo uyasemayo?Mshahara Tayari
Nilipata sms saa 4.15 asbh hiiUongo
Oii tukavimbe sasa. Si ndio waajiriwa.Hakika mkuu.
Tenga kabisa za kuhonga uteleziOii tukavimbe sasa. Si ndio waajiriwa.
Woyooooo[emoji23][emoji23][emoji23] watumishi haya shime tukutane kwenye masinagogi yetu kwenye meza tuzungushe [emoji23]Imooooo
Acha kututisha wewe.Mkumbuke mshahara huu wa march ndio unaenda kula Pasaka,Eid na kuwalipia watoto ada baada ya likizo hii fupi.
Hadi naanza kuogopa au sababu sijajaza mfumo wao ule?Sana watuwahishie
PEPMISmfumo upi