Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Scheme of service katika angle ipi Mkuu ... Scheme of service ni eneo pana ...be specific Kuna remuneration, kujiendeleza kielimu, increments, kupanda madaraja, kubadilishiwa kada ...Sasa sijui unaongelea kipi....
Mfano kama walivyobadirika wa kilimo toka idara to mamlaka ya mbegu na viuatilifu.
 
Misahara haki yenu ila mnatakiwa kujitambu, jembe na nyudo haikuja bure ,wenda Mw Nyerere alipo lala anawashanga sana na kuwache ,nchi hii msingi mkuuu upo chini ya wafanyakazi na wakulima wala sio mafisadi kupitia biashara za kitapeli tapeli
Wakulima watauza wapi sasa?!
Mwache ashangae th
Sisi tunataka salary yetu
 
Back
Top Bottom