Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.

Mama anaupiga mwingi
 
wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.

Mama anaupiga mwingi
Ishi sana mkuu

Mitano tena kwa mama 🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️
Cc Smart911
 
Back
Top Bottom