Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mshahara ukiingua uzi unaifadhiwa pahala salama. Hadi tar 20 August.Wengine ni wapenzi watazamaji, tunasoma comments tu, zingine zinafurahisha na tunaongeza siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara ukiingua uzi unaifadhiwa pahala salama. Hadi tar 20 August.Wengine ni wapenzi watazamaji, tunasoma comments tu, zingine zinafurahisha na tunaongeza siku
Mkuu ni kweli, mwezi uliopita Kuna mtu comment yake ilinichekesha sana... Jamaa akaandikaWengine ni wapenzi watazamaji, tunasoma comments tu, zingine zinafurahisha na tunaongeza siku
Tukishapata mshiko hauna faida tena atii.Hahahahaaa..... jamani
Nyie wajaa
Huu udumu[emoji1][emoji3][emoji3]
Hahaha...tena ni uzi wa tarehe 21 ya kila mweziTukishapata mshiko hauna faida tena atii.
Huu ni uzi wa ule wakati mifuko imetoboka. [emoji23]
Kweli kabisa ujue. 😂😂Hahaha...tena ni uzi wa tarehe 21 ya kila mwezi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tukipata uzi unakua mzito
Au unadaiwa?Kwenye mfumo inaonekana tayari ila meseji bado
Mwanaume kudaiwa kawaida. Inadaiwa nchi sembuse mimiAu unadaiwa?
Upo sahihi mkuu. Mwanaume unakufa bila madeni? Sio kweliMwanaume kudaiwa kawaida. Inadaiwa nchi sembuse mimi
Siku ya Leo imekua ndefu sanaNapenda kutangaza Taarifa, sio nzuri ila ndio ivyo inabidi tuipokee..
Siku ya leo Tarehe 23 July 2024 mshahara haujaingia.
Naomba tuendelee na hali ya utulivu hadi kesho. Pamoja sana.
Mfumo wa wap bank auKwenye mfumo inaonekana tayari ila meseji bado
Ukiingia ess ukacheki kwenye mikopo yako utaona kama mwezi huu wamekatq teyari. Na utajuaje utajua kama unakawaida ya kuangalia mikopo yako iliyopo ni kiasi gani kwahiyo kama umeshakalili mwezi huu utaona mkopo umepunguaMfumo wa wap bank au
NilMmeongezewa
Soon uzi utakuwa, "108 were here" 😂😂😂19 plus me 20 people are here...
Kati ya hawa watu 20, 19 ni Waalimu.
Ishi sana mkuuwakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.
Mama anaupiga mwingi
Tafakariii timeTunaendelea na rekodi tunasimamia pamoja. Kisha tunapiga mswaki tunaingia mahakamani kwa ajili ya shughuli za kujenga taifa.