Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Una shida ya comprehension!? Wapi umeona nimesema Hilo suala!? Kwani wabunge wa Tanzania wanafanya Jambo gani la ajabu? Sheria za hovyo zinapitishwa yapo tu, utekaji, mauaji, wapo kimya. Kwanza hawastahili ata kulipwa. Wao wametaka kutuwakilisha. Nchi zilizoendelea mfano Scandinavia, yani wanafanya wito. Sio banana republic hizi, eti mbunge anamzidi daktari ela. Ushuzi mtupu.
Nchi yetu imeoza inahitaji watu makini waisafishe yote ikibidi ccm aondoke madarakani, sio swala la kumsema mtumishi kwakua anapokea mshahara kidogo na maisha yake duni
 
Una shida ya comprehension!? Wapi umeona nimesema Hilo suala!? Kwani wabunge wa Tanzania wanafanya Jambo gani la ajabu? Sheria za hovyo zinapitishwa yapo tu, utekaji, mauaji, wapo kimya. Kwanza hawastahili ata kulipwa. Wao wametaka kutuwakilisha. Nchi zilizoendelea mfano Scandinavia, yani wanafanya wito. Sio banana republic hizi, eti mbunge anamzidi daktari ela. Ushuzi mtupu.
Nenda ugombee na wewe uwe mbunge ule mema ya nchi, acha wivu
 
Acha uwongo ndugu. Mbona kama una wivu hivi na watumishi wa umma. Serikali haijawahi lipa mshahara kuzidi tarehe 30, kipindi cha mkapa ndio ilikuwa inafika29, alipoingia JK ni 23.

Halafu ni hivii, serikali haingalii mwezi uliopita walilipa lini.

Sisi watumishi tunajua kuna weekends ambazo serikali na mabenki haifanyi kazi, hivyo tarehe 22, 21 , 23, zikiangukia weekend tunajua wazi mshahara hauwezi kutoka.

Hapa tunasubiri leo jioni ama kesho uhakika zaidi

So kama wewe uliacha kazi achana na mambo ya watumishi, kwani unawadai?
Mimi nipo ktk utumishi nangojea mshahara kama wewe tusubirie kesho mzigo usome
 
UTUMWA. Wenzio wabunge wana mishahara mara 20 ya wakwako. Watoto wanasoma vizuri, hawana mikopo kichaaz, familia zinatibiwa nje. Wapo CCM. Wenzenu wakitaka watoke mnawaona wabaya, mnawatetea watesi wenu. Embu ona jitu zima linalia mtandaoni mishahara ambao haukai ata wiki. Pesa ambayo anahongwa demu ya vocha. Watanzania ni matakataka tu.
Mh. Mbunge si uende kwny thread zinazohusu wabunge wenzako? unatafuta nini huku?
 
Back
Top Bottom