julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
kweli? ngoja nichkue boda niwahi hapo kwa hanspop nikiona folen naenda ruco pale sio sana.nikitoka hapo nashuka zangu mashine tatu naenda kuchkua kwioo mzima mzima ikumbukwe mda huo nimeshapiga simu wayamwage yale maharage kwa sasa sio wakat wake.niweke na tumafuta twa elfu 20 petrol kuutisha mtaa.Sio wakati wote tunahitaji kuwa serious Mkuu.
By the way, naona NMB foleni imeanza kuwa kubwa tangu saa 3 asubuhi hii
So hopefully, Hazina imemwaga Mzigo tayari