Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mzigo tyr ingekuw bado vilio na kelele ktk huu uzi hakuna angeweza kustopisha.
 
Kwa hyo Julaibibi umepata mshahara asubuhi yote hii unakomaa na sambusa! Wengine mshahara kimya mpaka sasa
sijaupata ila hapo Em R (mr) kwa hao wapemba hunikos kwenye uji. ngoja niingie kwa jamaa zangu hapo hazina ndogo niwaulize lulikolini mwagitoo
 
Wamechelewa sana kuniwekea Salio mpaka nikahisi wamenitimua kazi maana Leo ni siku ya tatu sijakanyaga job.... Inatakiwa Leo nitandike bapa la konyagi ili kesho nishindwe kwenda job ili tuonane jumatatu.
Yaan mtu mshahara wako ila unaupatia tabu
 
Mshahara umeongezeka kiasi sio mbaya, wale wa ushauri punguzeni shobo mkashauri familia zenu majumbani kwenu ukute hata cheque namba hamna mnajikuta keyboard rich gang mafallah sana. Wacha nikanywe bia kidogo
 
Back
Top Bottom