Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?

Nyapu inahusika maana kwa akili za huyo mwanamke sidhani kama anaweza kuwa hata na mchango wa mawazo yenye manufaa kwa huyo jamaa zaidi ya kutumia nyapu kama bargaining chip
Sasa si Bora Huyo alieuliza, kuliko aliekaa kimya akasepa?!
 
Nyingi mno mm hata ambae Hana mshahara kikubwa upendo [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…