thanks again and have you
JF-Expert Member
- May 11, 2023
- 230
- 426
Now days without Money no true love to be sincerly hata furaha hauwezi pata ,umewhi tembea na nauli tu mda wote unamuomba mungu hata konda akusahau nyie umaskini uache kabisaaa!Ila wanaume, atakaewasaidia NI Mungu na mama yenu tu
Aisee dah sijawahi kupata bahati ya mwanamke anaeomba vijihela kabisa mimi naangukiaga kwa maindependent woman tu yaani mpaka kero unakuta dinner anataka alipe yeye hadi ukilipa linanuna. Nikizubaa nanunuliwa mpaka boxer sio kwamba ni mishangazi hapana mwanamke mwenye mishe zake saaafi sasa ninamiss umwamba kwelikweli. Nisogezee huyo nihongehonge na mm nijione mwamba atleast.Kweli wewe NI mwiba
Hivi walimu wanalipwa laki 2 kweli? Au ni uchonganishi tu?Au unalipwa laki 2 kama mwalimu??
Huo ndiyo ukweli, huwezi mbagua mmeo kisa kipato, labda kama upo kimaslahi..Ivi kwanini Kila mwanamke unamwona NI kahaba Tu??
Kha, kweli Afya ya akili mnaumwa wengi
Hakuna maisha bila pesa, kilichopo ni mateso,hasira, elimu duni kwa watoto, chakula duni, afya duni, kuishi kwa kudra tu,ACHA TAMAA WEWE KUNA MAISHA BAADA YA PESA
noma sanaSasa unadate na iren woya ,Paula kajala unasema huduma zao ni kama mwajuma ndala ndefu lazima uangalie binti unayemfata unaendana nae kistandard
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
ni sheedah!Now days without Money no true love to be sincerly hata furaha hauwezi pata ,umewhi tembea na nauli tu mda wote unamuomba mungu hata konda akusahau nyie umaskini uache kabisaaa!
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
labda kama anafanya kazi kwenye shule wanazolipa ada mil 2 - 4 kwa mwakaHivi walimu wanalipwa laki 2 kweli? Au ni uchonganishi tu?
Mbona wanajenga, wanasukuma ndinga kama IST, VITZ PASSO n.k, na watoto wao wanasoma shule za private (sio wanazofundisha wao)
Sasa inakuwaje mnawananga kila siku kana kwamba wao ndo wa mwisho kabisaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pensheni yangu Tsh mil 3 kwa mweziWe mshahara wako tsh ngap?
MwabieeHaya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! ππππππ
mwambie nini?Mwabiee
Ruuuuun bieeeetttch ruuuun
Mwambie (Ruuuuun bieeeetttch ruuuun)mwambie nini?
SAUWAMwambie (Ruuuuun bieeeetttch ruuuun)
KWANINI JAMAAN MNAKATA TAMAA MAPEMAAisee amuache tu mshikaji mdogo mdogo.