Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

Jitahidi uwe unafunga, kula jioni tu.
Muda wako wa ziada jitahidi kutafuta kitu kingine cha kukuingizia kipato. Tafuta hata watoto wa majirani uwe unawapiga pindi. Anza kujibana na kufanya saving ili ufungue kiofisi cha kuku-boost
Hivi kwani pesa tunatafuta zanini yani nianze kufunga kula mlo mmoja kwa siku wakati pesa inatakiwa ikusave unaweza kutunza hiyo pesa na bado ukafa kizembe tu mie wacha nile vzr tu nachoamini pesa inatakiwa ikutunze muda wowote unapokuwa hai
 
Awapige pindi kwani umeambiwa mtoa mada ni ndugu yake na Mpwayungu Village ebu acheni kukariri maisha unadhani kufundisha ni kazi ndogo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bado hujayajua maisha wewe!!
Nakumbuka tuliwahi kufundishwa tuition na mwalimu ambaye sio mwalimu. Na hakuna aliyewahi kukosa akisahisha ila sasa yale majibu yahamishie shuleni ndio utajua hujui..!!
 
Hivi kwani pesa tunatafuta zanini yani nianze kufunga kula mlo mmoja kwa siku wakati pesa inatakiwa ikusave unaweza kutunza hiyo pesa na bado ukafa kizembe tu mie wacha nile vzr tu nachoamini pesa inatakiwa ikutunze muda wowote unapokuwa hai
Kwa kipato chake akisikiliza ushubwada wako basi week hamalizi hana hata mia
 
Kwa kipato chake akisikiliza ushubwada wako basi week hamalizi hana hata mia
Nyinyi mpotezeni mtoa mada mnadhani kushindia mlo mmoja kila siku ni kazi ndogo lazima ujali maisha yako kwanza kama unaingiza pesa unashindwa kula et sababu unasave pesa hv kutakuwa kuna maana gani ya kufanya kazi
 
Umesema vyema kabisa.Naunga mkono na hoja
 
Wewe ndio umeongea mshangazi achana na Lamomy anataka kuuwa watu na njaa na ushauri wake wa kikatili
Mmh kushinda na njaa hapana asee atapata vidonda vya tumbo aanze tena kutafuta pesa ya matibabu.....

Sijui anafanya kazi gani mazingira gani, ila hapo hapo job anaweka aibu kando anawakaangia hata karanga za mayai hawezi kosa elf mbili mbili za chakula na nauli. (Karanga ni mfano ila vya kufanya ni vingi)
 
Hana haja ya kula mara tatu, breakfast na dinner ya mapema inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…